Sijaona baiskeli siku nyingi.

Sijaona baiskeli siku nyingi.

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
3,564
Reaction score
1,991
Mzee mmoja mwenye heshima zake alipita mtaa fulani uswahilini akakuta
vijana wamejipanga barabarani kwa
furaha.
Mzee akauliza, "Vijana kuna nini hapa?"
Kijana mmoja akamjibu, "Tumeambiwa kuna
mwanamke mmoja mzuri atapita hapa akiendesha
baiskeli akiwa mtupu kama alivyozaliwa. Mara Mzee akadakia, "Aa ngoja na mimi nisubiri unajua
sijaona baiskeli siku nyingi sana!"
 
Mzee mmoja mwenye heshima zake alipita mtaa fulani uswahilini akakuta
vijana wamejipanga barabarani kwa
furaha.
Mzee akauliza, "Vijana kuna nini hapa?"
Kijana mmoja akamjibu, "Tumeambiwa kuna
mwanamke mmoja mzuri atapita hapa akiendesha
baiskeli akiwa mtupu kama alivyozaliwa. Mara Mzee akadakia, "Aa ngoja na mimi nisubiri unajua
sijaona baiskeli siku nyingi sana!"
Hilo balaa mpaka mzee anataka kuona baiskel
 
hata mimi sijaona basikeri siku nyingi ngoja na mimi ni usubscribe huu uzi nione hiyo baiskeri


[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ila mzee katishaaa
 
hata mimi sijaona basikeri siku nyingi ngoja na mimi ni usubscribe huu uzi nione hiyo baiskeri


[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ila mzee katishaaa

Ila we jamaa bana tehe tehe tehe umenichekesha sanaa!
 
Hilo balaa mpaka mzee anataka kuona baiskel
Yawezaka kutokana kupungua kwa umasikiki ktk nchi yetu kumepelekea pkpk kuwa nyingi kuliko baiskeri hivyo kumfanya huyo mzee awe na hamu ya kuona baiskeri ambayo muda mlefu alikua hajaiona
 
Jamani mnipigie picha mwenyewe sijaziona ni miaka
 
Back
Top Bottom