Sijaona mbadala wa Mkude Simba VS Platinum

Mnajikuta wachambuzi kumbe hewa tu.
 
Nkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
 
Nkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
Pamoja mkuu
 
Nkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
Na ile ya kumkwatua Morrison mechi na Yanga wakatufunga goli moja kwa hiyo adhabu alifanya huyohuyo mtu.
 
Nkukumbushe pia, faulo ya udisongo iliyosababisha goli ilifanywa na mkude kwenye mazingira ambayo mabeki walkua was kutosha na mshambuliaji angewezwa kubanwa tofauti bila madhara
Ud songo alifanya nyoni sio mkude
 
Kwangu mimi bora Muzamiru anayekaba sana dakika zote 90 pamoja na mapungufu yake ya kupoteza pasi anakuwa anaisadiia timu kwa kiasi fulani kuiweka salama kuliko mapungufu ya Mkude ya kushindwa kukaba na akizidiwa huwa anacheza rafu za kijinga kabisa na matokeo yake anawapa kazi Wawa na Onyango kufuta makosa yake.

Na watu wengi wanamuona Mkude mchezaji wa maana kutokana na zile pasi zake fupi fupi kwenda kwa mabeki wakati na wa pembeni badala ya kupiga "long pass" na "penetration pass" kusogeza timu mbele kwa haraka. Kiungo mzuri wa nyuma anatakiwa afanye kazi mbili kwa pamoja kwanza atulize mashambulizi ya timu pinzani ili mabeki wake wa katikati wasipate kashi kashi na pili ni kuanzisha mashambulizi ya haraka haraka kwenda kwenye lango la timu pinzani. Mkude hana uwezo wa kutimiza majukumu yote hayo mawili kwa asilimia 100% ndio sababu toka amefungiwa timu imeimarika kwa kuwa wachezaji waliopewa hayo majukum wametimiza kwa ufasaha japo hawajafikia kiwango cha mwamba Fraga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…