Sijaona Mkuu wa Mkoa bora Tanzania hii kumzidi RC Mtanda

Sijaona Mkuu wa Mkoa bora Tanzania hii kumzidi RC Mtanda

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
RC Mtanda piga kazi usiyumbishwe na maneno ya wakosaji sisi ambao tunakufahamu tunajua wewe sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendo kwanza haupendi uonevu wewe unajali kuwaletea maendeleo wananchi tu ona sasa Mwanza ulivyobadilika baada ya kuingia wewe kuwa mkuu wa mkoa endelea kupiga kazi mkuu sie tupo nyuma yako tutakutetea mpaka tone la mwisho

Halafu anatokea mtu kutokana na visababu vyake uchwara anakuja huku kukuchafua wakati aisi tunajua wewe ni mpiga kazi usiependa makuu na wewe kazi mwanzo mwisho Mwanza tunakutegemea na pia Taifa tunakutegemea pia! Piga kazi bila kuchoka usiwasikilize wakosaji wako hao wana chuki na wewe.
 
Wale mashabiki wa ile timu fulani nchini Burundi, hawana tofauti na nyumbu.
 
RC Mtanda piga kazi usiyumbishwe na maneno ya wakosaji sisi ambao tunakufahamu tunajua wewe sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendo kwanza haupendi uonevu wewe unajali kuwaletea maendeleo wananchi tu ona sasa Mwanza ulivyobadilika baada ya kuingia wewe kuwa mkuu wa mkoa endelea kupiga kazi mkuu sie tupo nyuma yako tutakutetea mpaka tone la mwisho

Halafu anatokea mtu kutokana na visababu vyake uchwara anakuja huku kukuchafua wakati aisi tunajua wewe ni mpiga kazi usiependa makuu na wewe kazi mwanzo mwisho Mwanza tunakutegemea na pia Taifa tunakutegemea pia! Piga kazi bila kuchoka usiwasikilize wakosaji wako hao wana chuki na wewe.

Au hii ndiyo ile ambayo kitalaamu inaitwa kujifungulia nyuzi?
 
RC Mtanda piga kazi usiyumbishwe na maneno ya wakosaji sisi ambao tunakufahamu tunajua wewe sio mtu wa maneno ni mtu wa vitendo kwanza haupendi uonevu wewe unajali kuwaletea maendeleo wananchi tu ona sasa Mwanza ulivyobadilika baada ya kuingia wewe kuwa mkuu wa mkoa endelea kupiga kazi mkuu sie tupo nyuma yako tutakutetea mpaka tone la mwisho

Halafu anatokea mtu kutokana na visababu vyake uchwara anakuja huku kukuchafua wakati aisi tunajua wewe ni mpiga kazi usiependa makuu na wewe kazi mwanzo mwisho Mwanza tunakutegemea na pia Taifa tunakutegemea pia! Piga kazi bila kuchoka usiwasikilize wakosaji wako hao wana chuki na wewe.
Angeacha kuchanganya mahaba,ushabiki, siasa na mpira kinyume chake hatakiwi kufanya alicho fanya.

Taasisi ya SIMBA ni kubwa kuliko MTANDA , For years Simba imekua ikiitangaza vyema TZ kimataifa so atumie akili ku deal na hizi issues vinginevyo hatoshi kuendelea kua mkuu wa mkoa.
 
Mkuu wa mkoa shabiki lialia akili kisoda
 
Back
Top Bottom