Nimepokea Maoni ya watu wengi sana wakiniambia kwann siongelei sana Uchaguzi wa Safari hii wa TFF wakati nlikuwa nampiga sana Malinzi na wakati ni Huu wa mabadiliko???
................... kwa wadau wangu Kwanza niwashukuru sana kwa kuona Nina umuhimu sana wa kutoa Maoni Yangu na mm
Jibu LA swali lenu liko hivi
Sijaona bado Mwenye zamira ya mpira wa Miguu na Uchaguzi umeshaisha na hao watakaochaguliwa wote ni walewale walioua mpira wetu