Uchaguzi 2020 Sijaona sababu ya wapinzani kufanya Uchaguzi Mkuu 2020

Uchaguzi 2020 Sijaona sababu ya wapinzani kufanya Uchaguzi Mkuu 2020

mwekundu

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
21,859
Reaction score
19,736
Hii labda kwa sababu ya akili yangu mbumbumbu,sina taarifa au picture ya kilichotokea mwaka 2015-2020 perception yake naiona vibaya? Au kwa sababu nimehisi dhamira za wenye nguvu ziko kinyume na wanavyoutangazia umma? Bado sijajua.

Mimi ushauri wangu ili mpambano uwe sawa, there should be equal ground from the beginning, vinginevyo we are going to face democratic disaster.

Haiwezekani mtu anataka mshindane halafu akukaririshe maneno ya kuongea na wewe upo tu ...unahisi kutakua na maajabu, haiwezekani uchaguliwa muda wa kuwasiliana na hadhira yako na wewe Bado haujashtuka tu, haiwezekani wakati unaingia ulingoni umezoofika haujala siku saba halafu unapambana na Tyson Furry?

For me that's cheap strategy; they just need justification that we held general election, now the question to spectators are you going to part of this play? Kwani maandeleo hayawezi kupatikana bila kukandamiza democracy, rule of law au human rights?
 
Kwa sasa nchini Madagascar wanaongozwa na uoga wa hali ya juu ambao umesababisha wakose kujiamini.

Ukiona mtu anaogopa kukosolewa basi jua hapo ipo shida, tuwaombee wana Madagascar wapate muujiza tu ili kukiepuka hiki kikombe
 
Hii labda kwa sababu ya akili yangu mbumbumbu,sina taarifa au picture ya kilichotokea mwaka 2015-2020 perception yake naiona vibaya? Au kwa sababu nimehisi dhamira za wenye nguvu ziko kinyume na wanavyoutangazia umma? Bado sijajua.

Mimi ushauri wangu ili mpambano uwe sawa, there should be equal ground from the beginning, vinginevyo we are going to face democratic disaster.

Haiwezekani mtu anataka mshindane halafu akukaririshe maneno ya kuongea na wewe upo tu ...unahisi kutakua na maajabu, haiwezekani uchaguliwa muda wa kuwasiliana na hadhira yako na wewe Bado haujashtuka tu, haiwezekani wakati unaingia ulingoni umezoofika haujala siku saba halafu unapambana na Tyson Furry?

For me that's cheap strategy; they just need justification that we held general election, now the question to spectator are going to part of this play? Kwani maandeleo hayawezi kupatikana bila kukandamiza democracy, rule of law au human rights?
Hakuna mtu mwenye hofu kama jiwe kuhusu nafasi yake, anajua anavyoboronga na kamwe hajiamini kabisa. Tupo kwenye udikteta ila tulikate tamaa manake lolote laweza kutokea.
 
Ndio na mimi nimewashangaa ndg zangu kina msigwa chadema badala ya kuweka nguvu kubwa kuwaelimisha wananchi nia yao na kupigania viti zaidi bungeni wao wanskimbilia urais,
Kwanini wana haraka hivyo? Ngoma hapa tungejipanga 2025 na ingeanza kukampeniwa sasa
 
Hii labda kwa sababu ya akili yangu mbumbumbu,sina taarifa au picture ya kilichotokea mwaka 2015-2020 perception yake naiona vibaya? Au kwa sababu nimehisi dhamira za wenye nguvu ziko kinyume na wanavyoutangazia umma? Bado sijajua.

Mimi ushauri wangu ili mpambano uwe sawa, there should be equal ground from the beginning, vinginevyo we are going to face democratic disaster.

Haiwezekani mtu anataka mshindane halafu akukaririshe maneno ya kuongea na wewe upo tu ...unahisi kutakua na maajabu, haiwezekani uchaguliwa muda wa kuwasiliana na hadhira yako na wewe Bado haujashtuka tu, haiwezekani wakati unaingia ulingoni umezoofika haujala siku saba halafu unapambana na Tyson Furry?

For me that's cheap strategy; they just need justification that we held general election, now the question to spectator are going to part of this play? Kwani maandeleo hayawezi kupatikana bila kukandamiza democracy, rule of law au human rights?
Hakuna Uchaguzi Huru
 
Hakuna mtu mwenye hofu kama jiwe kuhusu nafasi yake, anajua anavyoboronga na kamwe hajiamini kabisa. Tupo kwenye udikteta ila tulikate tamaa manake lolote laweza kutokea.
Litakalotokea jiwe atatangazwa mshindi kwa haki au lazima
 
Hakuna Uchaguzi Huru

Cha msingi sio kususia uchaguzi inatakiwa wadai tume huru kabla ya uchaguzi na kupinga Sheria na taratibu za uchaguzi ambazo Ni batili...

Wakishindwa hayo Ni heri mfumo wa vyama vingi ufutwe...
 
Mkuu Upo sawa, hilo ni jambo jema kama wapinzani wangekuwa na umoja na mshikamano bila kujikomba kwa CCM na kusaliti wengine. Lakini kwa mazingira yetu na mbinu zinazotumiwa na CCM kuwagawa wapinzani, mie naona ni kheri washiriki uchaguzi itasaidia kuongeza kitu flani kuliko vinginevyo! Maana hata wakiamua kuweka msimamo wa kutoingia kwenye uchaguzi mathalani Chadema na ACT wazalendo wanaweza kusema wanataka mpaka katiba irekebishwe na tume iwed huru, wakisema hawaingii kwenye uchaguzi, Basi hapo utaona Vijivyama vingine vitapenyezewa ahadi ya kupewa tumajimbo tuchache au kata za udiwani na CCM, tayari haohao ndio wanaanza kuwaponda wenzao na kuapa kushiriki uchaguzi na wakishashiriki tayari utasikia ripot zikitolewa uchaguzi ulishirikisha vyama vyote vya siasa na ulikuwa huru na wa haki. Wakati watakapokuwa wanatoa hayo matamko watatumia vyombo vyao habari vingi kuwashutumu waliosusia uchaguzi kwa kuwapakazia majina na vijisababu mbalimbali mara waroho wa madaraka n.k. Mwisho wa siku CCM na vyamanjaa ndivyo vitakavyoneemeka! Rejea uchaguzi wa Zanzibar mwaka 2015 ambapo tume ulifuta uchaguzi ule baada ya kugundua mwanawe amefurushwa na CUF, Uchaguzi uliporudiwa CUF waliugomea wakiamini hautakuwa wa haki! Lakini wakat CUF waligoma Kuna baadhi ya vyama vilijikomba kwa CCM vikashiriki uchaguzi ule batili, na baada ya uchaguzi baadhi ya viongozi wa vyama hivyo akiwemo MOHAMED RASHID wakazawadiwa vyeo, Rashid sasa hivi ndiye Waziri wa Afya SMZ. Wapiknzani wakiongozwa na Maalim Seif wamejaribu kwenda kulalamikia jambo hilo la ubakaji wa demokrasia mpaka UN lakini hakuna matokeo chanya yaliyopatikana hadi sasa na hivi Shein amemaliza muhula! Kwa hiyo hapo walionufaika ni CCM na vyamanjaa vya upinzani. Hivyo mimi binafsi nashauri tu wapinzani wangeangalia namna bora ya kuutumia vyema muda wa kampeni kufanya kampeni za nguvu sana pamoja na kuvijenga vyama, maana baada ya kampeni yatawekwa tena mazuio ya mikutano hadi ya ndani na hapo siasa za kujenga vyama zinakuwa ngumu sana. Jambo lingine wanaweza kuwekeza nguvu kubwa sana kuhakikisha wanashinda kiti cha urais, baada ya ushindi huo rais analivunja bunge, hivyo uchaguzi wa wabunge unarudiwa upya, hapo kama rais ni wa kutoka upinzani sidhani kama uchaguzi wa wabunge ukirudiwa CCM itashinda tena majimbo mengi, ni lazima itapoteza mengi sana , hii plana ni hesabu kali zinahitajika!
 
Back
Top Bottom