It seems like you are growing up!Mkuu, Serikali imeshaamua. Kama unampenda Domondi, mtafute mkanywe chai. Halafu, hili jambo linakuwaje la kisiasa hadi liwe hapa?
JUKWAA LA SIASA
Tanzania's Political Forum. Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwani wewe unaona haya maamuzi ni ya kitaaramu au kimaadiri. Mbona kunamiziki mingi ya hovyo imeachwa. Ukiangalia kwa jicho la tatu hapo ni fully politics.Mkuu, Serikali imeshaamua. Kama unampenda Domondi, mtafute mkanywe chai. Halafu, hili jambo linakuwaje la kisiasa hadi liwe hapa?
JUKWAA LA SIASA
Tanzania's Political Forum. Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hiyo ni Boshen alikuwa anatafutwa Roma na ney wa Mitego!
264 ndilo suluhishoMkuu, Serikali imeshaamua. Kama unampenda Domondi, mtafute mkanywe chai. Halafu, hili jambo linakuwaje la kisiasa hadi liwe hapa?
JUKWAA LA SIASA
Tanzania's Political Forum. Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwenu wapi kaka?! Matumizi ya "R" & "L" yanakuhangaisha kuwa makini, humu wanasoma wengi.Kwani wewe unaona haya maamuzi ni ya kitaaramu au kimaadiri. Mbona kunamiziki mingi ya hovyo imeachwa. Ukiangalia kwa jicho la tatu hapo ni fully politics.
264 ndilo suluhisho
its seem like your out of reality mkuu... siasa is everything tukikuuliza siasa ni nini utatujibu nini au unahisi siasa ni discussion ya ccm cuf Act na chauma? Dont you know its politics that made this decision ya kufungia hizi nyimbo... unaelewaje sera ya kuendeleza vipaji na sanaa inapitishwa na nani kama si wanasiasa.. hapana mm napingana na wewe kuhusu kukataa jambo hili kuingizwa kwenye jukwaa hili.. nieleweke wazi kuwa sipingi maamuzi ya kufungia hiyo nyimbo kwani wanasababu zao na waliofungia wanamamlaka ya kufanya hivyo ila napinga perspective yako towards the word siasa..Mkuu, Serikali imeshaamua. Kama unampenda Domondi, mtafute mkanywe chai. Halafu, hili jambo linakuwaje la kisiasa hadi liwe hapa?
JUKWAA LA SIASA
Tanzania's Political Forum. Tafadhali hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sawa. Nikuache na everything is politicsits seem like your out of reality mkuu... siasa is everything tukikuuliza siasa ni nini utatujibu nini au unahisi siasa ni discussion ya ccm cuf Act na chauma? Dont you know its politics that made this decision ya kufungia hizi nyimbo... unaelewaje sera ya kuendeleza vipaji na sanaa inapitishwa na nani kama si wanasiasa.. hapana mm napingana na wewe kuhusu kukataa jambo hili kuingizwa kwenye jukwaa hili.. nieleweke wazi kuwa sipingi maamuzi ya kufungia hiyo nyimbo kwani wanasababu zao na waliofungia wanamamlaka ya kufanya hivyo ila napinga perspective yako towards the word siasa..