Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Salaamu kwanza nianze kujitetea katika makosa ya uandishi sababu ni kwamba natumia simu ndogo nashindwa kuweka aya vizuri! Hivyo basi tuvumiliane na nitaandika kwa kifupi. Mimi ni muhitimu wa ngazi ya shahada X katika chuo X tangu nimalize mwaka 2021 sijawahi kupata kufanya kazi kokote hata kujitolea, nimejaribu kutuma CV zangu holaa!!.
Maisha yangu hayaeleweki hata kidogo sina future kwa pesa nayoipata kwenye vibiashara na vibarua navyopata ila nimebakiwa na malengo tu. Kufupisha stori, nilishawahi kwenda kwa mganga before graduation sababu niliumwa ugonjwa wa kiswahili sasa ilitokea nikafanyiwa ramli na nikaambiwa ninalo jini la uganga hivyo sitafanya kazi zaidi ya hiyo.!
Nimeomba sana hola japo wkt mwengine nakata tamaa ila nafsi inanikutanisha na marafiki ambao wamepata kazi basi naona wivu nami najipiga moyo konde nitashinda japo sijui exactly ni lini!!
Nifanyaje?
Maisha yangu hayaeleweki hata kidogo sina future kwa pesa nayoipata kwenye vibiashara na vibarua navyopata ila nimebakiwa na malengo tu. Kufupisha stori, nilishawahi kwenda kwa mganga before graduation sababu niliumwa ugonjwa wa kiswahili sasa ilitokea nikafanyiwa ramli na nikaambiwa ninalo jini la uganga hivyo sitafanya kazi zaidi ya hiyo.!
Nimeomba sana hola japo wkt mwengine nakata tamaa ila nafsi inanikutanisha na marafiki ambao wamepata kazi basi naona wivu nami najipiga moyo konde nitashinda japo sijui exactly ni lini!!
Nifanyaje?