Sijaridhishwa na mchezo wa Yanga

Sijaridhishwa na mchezo wa Yanga

yahoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
3,526
Reaction score
1,409
Kama yanga imeingia botswana ikiongoza bao 2 ,alafu wanaongeza bao moja ugenini then wanapanic kiasi kile baada ya bdf kusawazisha,wanashindwa kuweka mpira chini na kurilax,wanabutua ka vile hapana,in future wajirekebishe,lazima tuwe wa kweli bdf ni tim dhaifu kuna timu ngumu zinakuja kama wanataka kufika mbali wabadili uchezaji waache kucheza ka wanacheza na mbeya city.
..wajifunze kuaply aina ya uchezaji kulingana na matokeo na aina ya timu ,huwezi kubutua mbele na kucheza kwa presha nyingi ka vile unatafuta kusawazisha wakati unaongoza na dakika zilizobaki ni chache,kama kungekuwa na dk 10 mbele yanga tungetolewa
 
na kwa mpira ule na tabia ya kocha kutokua makini na sub hawafiki mbali anaona kabisa mrwanda kapewa kadi ya njano anatafutwa kupewa kadi nyekundu yeye amekaa kama padri
 
Yah,some times tuige baadhi ya vitu kutoka kwa waarabu,uwezi kukimbia kimbia na mpira ka unakimbiza swala bila kuangAlia una nini mkononi na uchzeje,kwa uchezAji ule nina wasiwasi na mechi zijazo..
 
Majungu dot Com

Majungu yako wapi hapo ndugu yangu,kwani kukubali tatizo la timu yako inamana unataka kuihama? Sio kila jambo la kwenye soka linazungumziwa kishabiki kiasi hicho
 
We played very well,we created alot of chances but unlucky we managed to score once..!!Yanga imecheza vzr sn sema bahati haikutosha kufunga mabao mengi.lengo letu yanga ni kufunga mabao mengi magema lakini hatukufanikiwa.MIPIRA KM MITATU IMEGONGA MWAMBA,UNCLE KABLA YA GOL LAKE ALIPATA CLEAR CHANCE YA KUSCORE BUT HAIKUWA HVYO.
DAIMA MBELE NYUMA .........
 
Ni kujitakia maradhi ya moyo, kufia ushabiki wa team za Tanzania.
 
We played very well,we created alot of chances but unlucky we managed to score once..!!Yanga imecheza vzr sn sema bahati haikutosha kufunga mabao mengi.lengo letu yanga ni kufunga mabao mengi magema lakini hatukufanikiwa.MIPIRA KM MITATU IMEGONGA MWAMBA,UNCLE KABLA YA GOL LAKE ALIPATA CLEAR CHANCE YA KUSCORE BUT HAIKUWA HVYO.
DAIMA MBELE NYUMA .........

Angalizo la mwanzisha mada ni la msingi sana. Kumbuka ile ni timu dhaifu. Kuna wababe wanakuja mbele. Mtoa mada kasema kweli tupu ambayo inabidi ifanyiwe kazi. Mukibweteka kwa ushindi dhid ya Timu yenye hadhi sawa na Lipuli baadae mukikutana na vigogo timu.ikitolewa musitafute mchawi. Ushauri wake ni kweli tupu ila ni kwa mtu anafuata facts!
 
Inabidi mechi zinazofuata wapaniki zaidi ili wazawadiwe na red card kama mbili hivi na baadaye watolewe kabisa kwenye mashindano, maana wenyewe mnasema mechi za mtoano hamziwezi, kwa hiyo hata mkitolewa hakuna ajabu.
 
Angalizo la mwanzisha mada ni la msingi sana. Kumbuka ile ni timu dhaifu. Kuna wababe wanakuja mbele. Mtoa mada kasema kweli tupu ambayo inabidi ifanyiwe kazi. Mukibweteka kwa ushindi dhid ya Timu yenye hadhi sawa na Lipuli baadae mukikutana na vigogo timu.ikitolewa musitafute mchawi. Ushauri wake ni kweli tupu ila ni kwa mtu anafuata facts!

Nani kasema hiyo ni timu dhaifu? Huujui mpira wewe! Timu kutolewa na Yanga haimaanishi kuwa ni dhaifu. Jifunze kufuatilia soka kwa facts.
 
na kwa mpira ule na tabia ya kocha kutokua makini na sub hawafiki mbali anaona kabisa mrwanda kapewa kadi ya njano anatafutwa kupewa kadi nyekundu yeye amekaa kama padri
Mkuu Wakimataifa,
Hata mimi jana nimeshangaa kumuona kocha anaendelea kukaa na danny mrwanda uwanjan wakat eneo la katikat jana lilipwaya sana, kwann asimtoe na kumuingiza kiungo salum telela!!? hata kpah sherman alipaswa kuingizwa kuanzia dakika za 70 na muda alioingizwa wa dakika za 80. Kwa ujumla yanga jana walitutia pressure sana.
 
Kama yanga imeingia botswana ikiongoza bao 2 ,alafu wanaongeza bao moja ugenini then wanapanic kiasi kile baada ya bdf kusawazisha,wanashindwa kuweka mpira chini na kurilax,wanabutua ka vile hapana,in future wajirekebishe,lazima tuwe wa kweli bdf ni tim dhaifu kuna timu ngumu zinakuja kama wanataka kufika mbali wabadili uchezaji waache kucheza ka wanacheza na mbeya city.
..wajifunze kuaply aina ya uchezaji kulingana na matokeo na aina ya timu ,huwezi kubutua mbele na kucheza kwa presha nyingi ka vile unatafuta kusawazisha wakati unaongoza na dakika zilizobaki ni chache,kama kungekuwa na dk 10 mbele yanga tungetolewa

Mlipoambiwa kombe la washindi linashirikisha timu dhaifu mlikataa, makhirkhir walipokuja dsm na kuwafunga mkajisifu, sasa mnaanza kutafuta visingizio je mngepewa El-mereikh ingekuaje?
 
Mlipoambiwa kombe la washindi linashirikisha timu dhaifu mlikataa, makhirkhir walipokuja dsm na kuwafunga mkajisifu, sasa mnaanza kutafuta visingizio je mngepewa El-mereikh ingekuaje?
Sisi yanga tunapenda kuzungumzia matatizo yetu,sio kama nyie simba kila siku mnaposti issue za yanga kila kukicha,niliposema hawa jamaa dhaifu sikumaanisha uzaifu kama wa stand united bali ni dhaifu kulingana na timu zinazokuja mbele
 
Watanzania hatujafundishwa kujikubali madhaifu yetu,ndo maana tunapenda kulalamika bila kuchukua hatua.Mleta hoja kasema vizuri madhaifu na mapungufu ya mechi ya jana,watu wanachangia kama vile ameponda,mtoa hoja kwa hoja yake kajinasibisha kuwa yeye ni mshabiki wa Yanga,kwanini watu wengine hamumuelewi? Ni kosa la mfumo wa nchi,au kosa la wanasiasa au ni UVIVU wetu wenyewe wa kusoma,kujifunza na kuelewa? Ni lazima tujirekebishe tulipokosea,let say unakutana na timu kama Al Setif,kwa mpira ule na matokeo yale,ndo anachokisema mtoa hoja.
 
Mlipoambiwa kombe la washindi linashirikisha timu dhaifu mlikataa, makhirkhir walipokuja dsm na kuwafunga mkajisifu, sasa mnaanza kutafuta visingizio je mngepewa El-mereikh ingekuaje?

'Kombe la washindi linashirikisha timu dhaifu'
 
Majungu yako wapi hapo ndugu yangu,kwani kukubali tatizo la timu yako inamana unataka kuihama? Sio kila jambo la kwenye soka linazungumziwa kishabiki kiasi hicho

Hatuhitaji ushauri wenu......endeleeni kung'oa visiki BUNJU
 
Back
Top Bottom