mud-oil-chafu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2020
- 587
- 954
Nilipokuwa mdogo baba alikuwa akinipenda sana Mimi kuliko ndugu zangu wengine , lakini alinipenda tu na hakuwahi onesha upendeleo wa wazi ..TFF mmefeli katika hili ...huenda timu nyingine za ligi kuu hazina kura ya veto TFF