mud-oil-chafu
JF-Expert Member
- Dec 27, 2020
- 587
- 954
Kwa ratiba au wa ruhusa ya mashabiki?Nilipokuwa mdogo baba alikuwa akinipenda sana Mimi kuliko ndugu zangu wengine , lakini alinipenda tu na hakuwahi onesha upendeleo wa wazi ..TFF mmefeli katika hili ...huenda timu nyingine za ligi kuu hazina kura ya veto TFF
Nominations ya tuzo na vigezo, viporo , mashabiki ligi ya mabingwaUnaficha ficha nini, ongea kwa uwazi tukupinge kwa hoja halafu ujione kilaza.
Unachotaka kusema ni kwamba TFF ilizikataza Azam, Biashara na Yanga kuingiza mashabiki uwanjani (kwenye mashindano ya CAF) ila TFF hiyo hiyo imeziruhusu Azam, Biashara na Simba kuingiza mashabiki uwanjani ?Nominations ya tuzo na vigezo, viporo , mashabiki ligi ya mabingwa
Nop... TFF inasaidia timu kuishawishi CAF ... Iliuchuna Mara ya kwamza... Hizi tuzo hizi wametumia vigezo gan kuwapata washindaniUnachotaka kusema ni kwamba TFF ilizikataza Azam, Biashara na Yanga kuingiza mashabiki uwanjani (kwenye mashindano ya CAF) ila TFF hiyo hiyo imeziruhusu Azam, Biashara na Simba kuingiza mashabiki uwanjani ?