Sijawahi kufika Dar es Salaam

Sijawahi kufika Dar es Salaam

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
32
Reaction score
125
Habari zenu wakuu.

Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio uswahilin sana ili niweze kufikia Mimi hela niliyonayo ni 500000 kuanza maisha ya geto Dar.

Hapo nikifika ninunue kigodoro nilipe kodi chakula cha kutosha jiko la gesi nianze kusaka maisha Sasa.

(MIMI SIO MWANDISHI MZURI 😁🙏)
 
Labda Kama umeitwa kazini mkuu. Vinginevyo iyo Hela tafuta biashara uko ufanye ili siku ukipata hela ya kutosha uje Dar ku refresh akili tu ata week nzima. Ila kusema hiyo hela unakuja kupanga et Chumba ili utafute maisha, utakuwa umekurupuka mkuu. Cjui lakn ngoja wa2 wa Dar waje[emoji125][emoji125]
 
Habari zenu wakuu.

Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio uswahilin sana ili niweze kufikia Mimi hela niliyonayo ni 500000 kuanza maisha ya geto Dar.

Hapo nikifika ninunue kigodoro nilipe kodi chakula cha kutosha jiko la gesi nianze kusaka maisha Sasa.

(MIMI SIO MWANDISHI MZURI [emoji16][emoji120])
Kijana uko mkoa upi kwanza? labda unaweza shauriwa vyema huko uliko , na je una ujuzi wowote ?maana Dar bila ujuzi utaumia .

Ila kwa chumba cha elfu 30 , keko ya machungwa , Temeke , Tabata kwa mnyamani , Vikindu , Bunju kwa Shemshi , Vigwaza utapata vyumba lakini , pole nikupayo hayo maeneo yote uwe tayari kupambana na vibaka ili kulilinda hilo godoro lako na gesi .
 
Eti chumba cha elf 30 sio uswahilini. Mdogo wangu hiyo hela uliyonanyo kwa dar ukienda nayo sana ni mwezi inaisha. Vyumba standard za kati dar ni elf50 hadi 150000
Unalipia kuanzia miezi 6
 
Habari zenu wakuu.

Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio uswahilin sana ili niweze kufikia Mimi hela niliyonayo ni 500000 kuanza maisha ya geto Dar.

Hapo nikifika ninunue kigodoro nilipe kodi chakula cha kutosha jiko la gesi nianze kusaka maisha Sasa.

(MIMI SIO MWANDISHI MZURI 😁🙏)
Usije mjini_mwana Fa ft Ay
 
Dah najaribu kuziona ndoto zako kubwa za mafanikio 😔

Kila la kheri Kijana usikubali kabisa kukatishwa tamaa simamia juu ya unachokiamini

Pambana jitume ..tumiza ndoto zako

Kazi zipo masokoni kubeba mizigo..kuli..na vibarua mbali mbali kama saidia fundi n.k

Kikubwa ujitutumue haswa
MWENYEZI MUNGU akutangulie 🙏
 
Labda Kama umeitwa kazini mkuu. Vinginevyo iyo Hela tafuta biashara uko ufanye ili siku ukipata hela ya kutosha uje Dar ku refresh akili tu ata week nzima. Ila kusema hiyo hela unakuja kupanga et Chumba ili utafute maisha, utakuwa umekurupuka mkuu. Cjui lakn ngoja wa2 wa Dar waje[emoji125][emoji125]
Aje tu, hiyo hela nyingi sana kwa maisha ya getto. Bondeni kule kuna room za buku tano tano kwa mwezi. msosi wa buku kwa mama ntilie safi na salo juu. Kazi za kufanya lundo, unaweza tumia nguvu zako kuokota chupa za maji zilizotumika na ukaanza maisha. Unaingia stend kupiga debe na unaokota mia mia na jioni una buku tatu, mbona fresh. Ukishalijua jiji sasa ndo unaanza michongo yako. Karibu sana jijini dar.
 
Dah najaribu kuziona ndoto zako kubwa za mafanikio 😔

Kila la kheri Kijana usikubali kabisa kukatishwa tamaa simamia juu ya unachokiamini

Pambana jitume ..tumiza ndoto zako

Kazi zipo masokoni kubeba mizigo..kuli..na vibarua mbali mbali kama saidia fundi n.k

Kikubwa ujitutumue haswa
MWENYEZI MUNGU akutangulie 🙏
Kuna watu kuja dar es salaam ni kama kuzamia Jo'burg au USA.....

Maisha Yana simulizi nyingi sana fanya kile unacho kiamini.....

Kuna story za ajab ajab na watu walio kick life & odds..
Maisha hayana formula for sure 😊😊

Maisha rahisi sana Dar es salaam kama una Connection....

DAR ES SALAAM NI PEPONI NA KUZIMU KWA BAADHI YA WATU.....
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Wasalaam
Kwa Sasa
+267
 
Kuna watu kuja dar es salaam ni kama kuzamia Jo'burg au USA.....

Maisha Yana simulizi nyingi sana fanya kile unacho kiamini.....

Kuna story za ajab ajab na watu walio kick life & odds..
Maisha hayana formula for sure 😊😊

Maisha rahisi sana Dar es salaam kama una Connection....

DAR ES SALAAM NI PEPONI NA KUZIMU KWA BAADHI YA WATU.....
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

Wasalaam
Kwa Sasa
+267
Let him fulfill his desire😊😊😊
 
Habari zenu wakuu.

Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio uswahilin sana ili niweze kufikia Mimi hela niliyonayo ni 500000 kuanza maisha ya geto Dar.

Hapo nikifika ninunue kigodoro nilipe kodi chakula cha kutosha jiko la gesi nianze kusaka maisha Sasa.

(MIMI SIO MWANDISHI MZURI 😁🙏)

Habari zenu wakuu.

Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio uswahilin sana ili niweze kufikia Mimi hela niliyonayo ni 500000 kuanza maisha ya geto Dar.

Hapo nikifika ninunue kigodoro nilipe kodi chakula cha kutosha jiko la gesi nianze kusaka maisha Sasa.

(MIMI SIO MWANDISHI MZURI 😁🙏)
Yani unataka chumba kizuri cha elfu 30 halafu kisiwe uswahilini sana ndani ya jiji la Dareslam? Ahaa sawa
 
Habari zenu wakuu.

Mimi Nina miaka 23 nina mpango wa kuanza maisha Dar ila sijawahi kufika nilikuwa Nina omba ushauri maeneo gani ya dar yenye vyumba vizuri vya 30000 au chini ambavyo sio uswahilin sana ili niweze kufikia Mimi hela niliyonayo ni 500000 kuanza maisha ya geto Dar.

Hapo nikifika ninunue kigodoro nilipe kodi chakula cha kutosha jiko la gesi nianze kusaka maisha Sasa.

(MIMI SIO MWANDISHI MZURI [emoji16][emoji120])
Uko Mbulu au Katesh?
 
Back
Top Bottom