DivaDaily
Member
- Oct 2, 2015
- 18
- 15
aliongea mengi, alimalizia kwa kusema tena kwa dharau, Diamond sio mmiliki kama anavyodanganya watu na angetaka kazi angempigia mmiliki sababu anamjua , Diva alaiongezea diamond ni muongo sana huwa anatengeneza vitu kuua kitu kinacho trend na sababu ya yeye kusema uongo ule ni kupoteza kiki ya wimbo wa hainistui ambao diva alisapoti kwa nguvu, Diva alisisitiza Im powerful nna uwezo wa kusema huyu bora na watu wakamini huyu bora kwa facts,
31 years old Cloudsfm Presenter amesisitiza hamuogopi diamond alikuwa rafiki yake anamjua vizuri sana na anayo mabaya yake yote yale alioonyesha ni trella tu yajayo yanafurahisha kama yeye na familia yake wataendelea kumuongelea na kutuma vibaraka wake wamtusi, hakuna tusi jipya ukinitusi mimi ni unamtusi mama yake na dada yako na shangazi zako hicho kiungo pia nao wanacho
It's a gift from God ila Diamond is a bad influence to the generation yeye akitaka afanye muziki wake aache kupenda sifa za kijinga , sababu uyaonayo kwako 35% inaeza kuwa kwelinthe rest ni uongo na uozo mtupu.
Diva amesisitiza diamond apimwe mkojo na damu ili ku prove kama diva alimuomba kaz na kama ile akili ilikuwa yake maana you can't lie on public like that, amesema beef lao ni entertainment beef na diamond anajua kwanini hawatapatana mpaka siku anaingia kaburini, na ile kusema nimemsamehe diva ni guilty yaje mwenyewe he knew what he did and made up to defame and hurt people behind the camera, amemalizia
Sent from my iPhone using JamiiForums
31 years old Cloudsfm Presenter amesisitiza hamuogopi diamond alikuwa rafiki yake anamjua vizuri sana na anayo mabaya yake yote yale alioonyesha ni trella tu yajayo yanafurahisha kama yeye na familia yake wataendelea kumuongelea na kutuma vibaraka wake wamtusi, hakuna tusi jipya ukinitusi mimi ni unamtusi mama yake na dada yako na shangazi zako hicho kiungo pia nao wanacho
It's a gift from God ila Diamond is a bad influence to the generation yeye akitaka afanye muziki wake aache kupenda sifa za kijinga , sababu uyaonayo kwako 35% inaeza kuwa kwelinthe rest ni uongo na uozo mtupu.
Diva amesisitiza diamond apimwe mkojo na damu ili ku prove kama diva alimuomba kaz na kama ile akili ilikuwa yake maana you can't lie on public like that, amesema beef lao ni entertainment beef na diamond anajua kwanini hawatapatana mpaka siku anaingia kaburini, na ile kusema nimemsamehe diva ni guilty yaje mwenyewe he knew what he did and made up to defame and hurt people behind the camera, amemalizia
Sent from my iPhone using JamiiForums