Sijawahi kuona gari ndani ya uwanja kwenye nchi za wenzetu

TANZANNIA

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2015
Posts
1,047
Reaction score
385
nimekuwa nikifatilia mechi za ligi mbalimbali za ulaya lakini sijawahi kuona gari ya aina yoyote uwanjani,iwe ya polisi,ambulance au basi la wachezaji,tofauti na huku kwetu magari kibao uwanjani,ni fasheni au?
 
Kwa sababu viwanja vingi vinavyotumika kwa soka Tanzania uwa ni vya zaidi ya mchezo wa soka. Haswa kwa sababu vinakuwa na sehemu ya michezo ya riadha. Hata kwa wenzetu kwenye viwanja vinavyotumika kwa michezo mingi, uweza kuona gari za wagonjwa ndani ya uwanja. Kwa viwanja vinavyotumika kwa soka tu huwezi kukuta gari ndani ya uwanja kwa sababu hakuna nafasi ya kupaki gari ndani.
 
i
inawezekana ukawa sahihi,ngoja nifanye uchunguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…