Sijawahi kuona mke wa Rais Mjamzito

Huku nje mnapenda kutakia watu happy birthday ndio watu huzaa kimya kimya ili wasisumbuliwe na kupokea happybirthday. Chamsing raia hamjazuiliwa kuzaa
 
Ilitokes France wakati wa utawala wa rais Sarkozy mke wake Sarah Brunei alijifungua mtoto wa kike wakiwa Ikulu.
 
basi ww kuwa raisi umpe mimba mkeo.maaana sasa maraisi wote kama wahapa kwetu niwa nineteen kweusi yan wazee
 
bas ww kuwa raisi umpe mimba mkeo.maana maraisi wote kama wahapa kwetu niwa nineteen kweusi wazee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…