Tayo zeboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 467
- 196
Inaweza ikawa ngumu kwako kunielewa, na wala isiwe rahisi kuamini kwa ninachosema; ila wakati fikra zako zinapingana na post yangu, ndio wakati huo huo fikra zangu zinapingana na moyo wangu {i need some1 to love} so plzz acha moyo wangu uwongee[emoji2958][emoji2958]
Upendo umekuwa ghali sana na ndio mana haudumu. Umekuwa nje ya hasili yake na wala si ndani. unatawaliwa na wenye pesa wala si wenye upendo, na ndio mana ka-Roho kangu kalikuwa kagumu sana kumwamini mwanamke na kumpenda.
Upendo ni furaha
Upendo ni amani
Upendo ni uvumilivu
Upendo ni utu wala cyo kitu
Upendo ni uwaminifu
Upendo ni upole
Upendo ni kuridhika
Ka-moyo kangu kamechoka kutamani, kanahitaji kupenda sasa! Kana muhitaji msichana mrembo, mcheshi, mwenye kujiheshimu, na mcha Mungu, anaye jua maana ya upendo.
Umri: 18-25, 45
Jinsia: mwanamke
Kimo: mrefu
Rangi: mweupe/chocolate
Dini: mkristo
Email: mathayomtakatifutz@gmail.com
NB: awe tayari kupima vipimo vyote hadi cha corona! [emoji6]
Asanteni.
Upendo umekuwa ghali sana na ndio mana haudumu. Umekuwa nje ya hasili yake na wala si ndani. unatawaliwa na wenye pesa wala si wenye upendo, na ndio mana ka-Roho kangu kalikuwa kagumu sana kumwamini mwanamke na kumpenda.
Upendo ni furaha
Upendo ni amani
Upendo ni uvumilivu
Upendo ni utu wala cyo kitu
Upendo ni uwaminifu
Upendo ni upole
Upendo ni kuridhika
Ka-moyo kangu kamechoka kutamani, kanahitaji kupenda sasa! Kana muhitaji msichana mrembo, mcheshi, mwenye kujiheshimu, na mcha Mungu, anaye jua maana ya upendo.
Umri: 18-25, 45
Jinsia: mwanamke
Kimo: mrefu
Rangi: mweupe/chocolate
Dini: mkristo
Email: mathayomtakatifutz@gmail.com
NB: awe tayari kupima vipimo vyote hadi cha corona! [emoji6]
Asanteni.