Sijawahi kuwaelewa TMA

Sijawahi kuwaelewa TMA

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Mapema mwezi wa kumi kama sio mwezi wa kumi na moja mwaka huu,hawa TMA walitutangazia kuwa kutakuwa na uhaba wa mvua kuanzia mwezi wa 11 hadi wa nne mwaka ujao,leo tena wamebadili gia angani,wamekuja na utabiri wa uwepo wa mvua nyingi.
Mbona wenzao huko marekani na ulaya tabiri zao huwa zinakuwa sawa kabisa,hawa wa kwetu wanafeli wapi?

Screenshot_20211202-164714_Instagram.jpg
 
Neno TABIRI unapaswa ulielewe kuwa "YAWEZEKANA/ISIWEZEKANE.
Ni kujidanganya kumkontrol Muumbaji.Tushukuru linalotokea.
Ni sawa lakini mbona huko ulaya/marekani jamaa na kwingine wakitabiri asilimia 90 ina kuwa kweli tofauti na hapa?hawa baada ya hali kutokea ndio wanakuja kuanza kutoa ufafanuzi?hata jk alishawahi kuwaambia mbona japani wakitabiri kesho mvua itanyesha kuanzia saa tano hadi saa 8 na inakuwa ni hivyo hivyo??tatizo kubwa ni vifaaa duni/elimu waliyo nayo watendaji wa TMA, kulinganisha na wenzetu.mala ngapi wanatangaza kuwa kesho kutakuwa na jua na mvua za rasharasha, linaibuka bonge la mvua utawasikia tena ohooo, mala kuna wingu limetoka misitu ya congo likaungana na lile la Amazon, likatengeneza mgandamizo mkubwa ndio ukaleta mvua hiyo, haaaaa!!!
 
Neno TABIRI unapaswa ulielewe kuwa "YAWEZEKANA/ISIWEZEKANE.
Ni kujidanganya kumkontrol Muumbaji.Tushukuru linalotokea.
Haiendi hivyo. Hii ni Sayansi. "utabiri" labda ni kwa hapa Tanzania na nchi za dunia ya tatu sababu hawana umakini na taaluma yao au wapo duni kiteknolojia. Huko nchi zilizoendelea wapo accurate sana na taarifa zao za hali ya hewa kiasi neno utabiri halina mashiko. Hata weather.com wapo more acccurate kuhusu hali ya hewa ya Tanzania kuliko TMA.
 
Mapema mwezi wa kumi kama sio mwezi wa kumi na moja mwaka huu,hawa TMA walitutangazia kuwa kutakuwa na uhaba wa mvua kuanzia mwezi wa 11 hadi wa nne mwaka ujao,leo tena wamebadili gia angani,wamekuja na utabiri wa uwepo wa mvua nyingi.
Mbona wenzao huko marekani na ulaya tabiri zao huwa zinakuwa sawa kabisa,hawa wa kwetu wanafeli wapi?

View attachment 2030624
Kwani mkuu nini maana ya Utabiri ?
 
Haiendi hivyo. Hii ni Sayansi. "utabiri" labda ni kwa hapa Tanzania na nchi za dunia ya tatu sababu hawana umakini na taaluma yao au wapo duni kiteknolojia. Huko nchi zilizoendelea wapo accurate sana na taarifa zao za hali ya hewa kiasi neno utabiri halina mashiko. Hata weather.com wapo more acccurate kuhusu hali ya hewa ya Tanzania kuliko TMA.
Sure,nilimjibu mleta hoja kwa kutumia Utabiri.
Angetumia watalaam wa hali ya hewa singemjibu.
 
Mapema mwezi wa kumi kama sio mwezi wa kumi na moja mwaka huu,hawa TMA walitutangazia kuwa kutakuwa na uhaba wa mvua kuanzia mwezi wa 11 hadi wa nne mwaka ujao,leo tena wamebadili gia angani,wamekuja na utabiri wa uwepo wa mvua nyingi.
Mbona wenzao huko marekani na ulaya tabiri zao huwa zinakuwa sawa kabisa,hawa wa kwetu wanafeli wapi?

View attachment 2030624
Labda ni nguvu za kiongozi wa kisiasa
 
Back
Top Bottom