kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hawa jamaa naona wana safari sana za kwenda nje, lakini sijawahi kuwasikia walau wakiongea hata sentence moja tu ya lugha ya kiingereza.
Mahojiano wanayoyafanya huko nje huwa ni wanawahoji Watanzania wenzetu tu na lugha inayotumika ni kiswahili kama kawaida.
Sasa nilitaka kujua huko nje kwenye safari zao wanazofanya, kwenye hotel au huduma nyingine za kijamii huwa kuna Wakalimani?
Mahojiano wanayoyafanya huko nje huwa ni wanawahoji Watanzania wenzetu tu na lugha inayotumika ni kiswahili kama kawaida.
Sasa nilitaka kujua huko nje kwenye safari zao wanazofanya, kwenye hotel au huduma nyingine za kijamii huwa kuna Wakalimani?