Sijawahi pata pm hata 1 tangu nifungue hii akaunti. Nifanyeje nipate PM za warembo?

Sijawahi pata pm hata 1 tangu nifungue hii akaunti. Nifanyeje nipate PM za warembo?

Bashitee

Member
Joined
Mar 14, 2017
Posts
89
Reaction score
60
Wakuu nina Gundu au? Maana nasikia wengine wamefunga pm zao kwa kulemewa na msg , au hawataki hayo mawasiliano,
Mimi nayapenda jamani.
Mimi hata 1 tu sijapata
Tutakayoongea huko ni siri yetu
Screenshot_20170423-144853.png
 
badili jina na avatar hizo rangi zinatisha
 
Back
Top Bottom