Swali lako hata halieleweki bwana , ni kwamba hamna feeling ya kupenda au?
Hata miss bantu apite hapo hamna mshipa wa fahamu unaoshituka?
Ni wkati mzuri kwako kwenda kusomea Upadre maana utaifanya kazi kwa moyo
duh!!polee meku inaonekana unaugonjwaa wa mfadhaiko unaoitwaa KUTOJIPENDA...jipendee mwenyeweee kwanzaa then utaonaa itavyo kuwa rahisi kupenda wengine sanaa jinsiaa ya kikee.