Sijawahi sema refa sio kocha toka nianze kufundisha hata kama anapuliza filimbi kama anachezesha ngoma. Lakini kwa jana nawaachien wananchi

Sijawahi sema refa sio kocha toka nianze kufundisha hata kama anapuliza filimbi kama anachezesha ngoma. Lakini kwa jana nawaachien wananchi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Walioangalia KIPINDI CHA michezo channel ten yanasikitisha sana sanaa, Kocha mgunda kaulizwa umeonaje mechi, AKASEMA hajawahi kumsema Refa YOYOTE Toka aanze KUFUNDISHA akasema HATA kama anapiga filimbi kama ANACHEZESHA ngomaa

Lakini yaliyotokeaaaa wananchi mmeyaonaaa nawaachia nyie mseme, Akakata simu

Hukoo TFF Hawa watu hawawasikii ama, Kocha WA fountaine gate kalalama hivi hivi, Shame on them

Mola atawaadhibu mapema tu UCHAFU UNAENDELEA

Shalom
Pdidyjr25
 
Walioangalia KIPINDI CHA michezo channel ten yanasikitisha sana sanaa, Kocha mgunda kaulizwa umeonaje mechi, AKASEMA hajawahi kumsema Refa YOYOTE Toka aanze KUFUNDISHA akasema HATA kama anapiga filimbi kama ANACHEZESHA ngomaa

Lakini yaliyotokeaaaa wananchi mmeyaonaaa nawaachia nyie mseme, Akakata simu

Hukoo TFF Hawa watu hawawasikii ama, Kocha WA fountaine gate kalalama hivi hivi, Shame on them

Mola atawaadhibu mapema tu UCHAFU UNAENDELEA

Shalom
Pdidyjr25
Wewe yale uliyomfanyia Mase,Justin Bieber,Casy nk Mungu hakukuona?Having dogs Jerome yuko wapi
 
Back
Top Bottom