Chibolo JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 5,181 Reaction score 6,813 Aug 14, 2013 #1 jamani binafsi sajaelewa vipi yale mabaraza ya katiba yanaendelea kweli au inakuaje maana kwa sasa naona haya ya chadema yameshika kasi na yameungwa mkono na wananchi kwa asilimia kubwa.
jamani binafsi sajaelewa vipi yale mabaraza ya katiba yanaendelea kweli au inakuaje maana kwa sasa naona haya ya chadema yameshika kasi na yameungwa mkono na wananchi kwa asilimia kubwa.
M mageuzi1992 JF-Expert Member Joined Apr 9, 2010 Posts 2,502 Reaction score 256 Aug 14, 2013 #2 Mimi si mwanasiasa lakini nazani haya ya chadema ndio ya wananchi!
Brightman Jr JF-Expert Member Joined Mar 22, 2009 Posts 1,224 Reaction score 234 Aug 14, 2013 #3 iishmmael said: Mimi si mwanasiasa lakini nazani haya ya chadema ndio ya wananchi! Click to expand... Haya mabaraza ya CHADEMA Jaji Warioba kasema hayatambui na hatapokea maoni yao. Kwahiyo CDM wanapoteza muda tu.
iishmmael said: Mimi si mwanasiasa lakini nazani haya ya chadema ndio ya wananchi! Click to expand... Haya mabaraza ya CHADEMA Jaji Warioba kasema hayatambui na hatapokea maoni yao. Kwahiyo CDM wanapoteza muda tu.