Sijielewi: Naumwa meno ya hapa mbele ya juu na ya chini

Sijielewi: Naumwa meno ya hapa mbele ya juu na ya chini

Habari zenu wana jf! Nmejifungua nna cku ya 34 sasa! Inafika wiki ya pili sasa naumwa meno ya hapa mbele ya juu na ya chini! Ikija ile hali yakuumwa meno bas kichwa nacho nahisi hakiko sawa! Nna chunusi usoni nkisema niitoe bas kichwa kinashtuka na meno yanauma! Nna tatizogani? Au kuna madini yamepungua mwilin mwangu yalosababisha meno kuuma? Sina raha na hii hali...kakipita kaupepo kidogo tu meno yanauma

Pole sana!
Watakuja! Kaa hapo hapo!
 
nami yamewahi kunisumbua hasa ya chini..kuna mama mmoja akaniambia nichukue kipande cha mti wa mwarobaini kisha nikate nipigie mswaki...(wazee wetu walitumia miti kupigia mswaki)...so sugua meno yako hasa eneo lenye meno yanayouma...ukifanya hvyo asunihi na jioni kwa siku mbili yanapona..binafsi nilifanya hivyo na mpaka sasa yamepona.....
 
Tumia hiyo dawa nakama hujapona unitafute nikupe dawa itakayotibu meno yako bila kungoa
 
Kuzaa siyo lelemama, ndiyo maana unatakiwa upumzike bila kufanya kazi yoyote kwa muda mrefu;
pia unatakiwa ule vizuri tena vyakula vya moto.
Hata hivyo ngoja waje wasomi wa hivyo vitu watakusaidia.
 
Back
Top Bottom