Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 na bado sijaowa ila ninarafiki ambaye tumependa kwa dhati.Tatizo lake kwa muda huyu yuko mbali anasoma na ameniahidi nimsubirie kwa miaka miwili kwani yeye anamiaka 20.
Ameniambia nimsubirie akomae viungo vyake vizuri. Sasa tatizo langu kila wakati hata nikiongea na demu huwa uume unasimama hata kama ni njiani au kwenye kundi la watu. Kuna saa hadi napiz nikikaa kwa muda mrefu kama dakika10 au nikiubana uume kwenye boxer ili usionekane umesimama nashangaa napiz dah!.
Wanajamii nisaidieni sijielewi jamani je nitatizo gani?
Asanteni wapendwa.
Ameniambia nimsubirie akomae viungo vyake vizuri. Sasa tatizo langu kila wakati hata nikiongea na demu huwa uume unasimama hata kama ni njiani au kwenye kundi la watu. Kuna saa hadi napiz nikikaa kwa muda mrefu kama dakika10 au nikiubana uume kwenye boxer ili usionekane umesimama nashangaa napiz dah!.
Wanajamii nisaidieni sijielewi jamani je nitatizo gani?
Asanteni wapendwa.