Sijui hapa mwamba alikuwa anafikiri nini?

Huyu jamaa alikuwa jembe! Mimi asubuhi natumiaga barabara ya kibaha-posta. Asubuhi ukifika kimara unaanza kuona msongamano wa magari japo yanasogea! Nikajiuliza kama serikali ingekuwa bado Dar ingekuwaje? Bigup JPM!
 
W
Huyu jamaa alikuwa jembe! Mimi asubuhi natumiaga barabara ya kibaha-posta. Asubuhi ukifika kimara unaanza kuona msongamano wa magari japo yanasogea! Nikajiuliza kama serikali ingekuwa bado Dar ingekuwaje? Bigup JPM!
Watu waliohamia Dodoma,wengi wao wakawa wanabeza tunaishije huku!kila ijumaa wakawa wanakimbilia kurudi Dar!Wamekutana na watoto wa kirangi,kigogo,kisandawe,kinyiramba,wewe trip za Dar kwishinei.
 
Kweli kabisa maana hata viongozi wa juu walikuwa hawakauki kurudi Dar! Sasa hatuwaoni? Wamemkubali mwamba! Hakuna kurudi Dar! Kama unataka kazi kaa Dodoma! Hutaki hacha kazi! Chezea Magu wewe! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alikuwa Anafikiria Kuyamaliza Mabeberu
Hapa Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…