sio kuwambia dar, bali waambie wewe ni mtanzania, basi jua umeua, nishabatishaga kitoto CHA kigogo flan kwa swaga za kiswaz tu,mie nadhan kwa sabab wanaona watz wanavowahi fanikiwa tofauti na watu wa mataifa mengine, pili watz ni watu wa sifa sana, pili ni wakarimu sana tofauti na wengine, Halafu dar inatokea julikana sana tofaut na miji mingine, ukimwambia dar anajua atakutana na watu wote kama kingwendu, kanumba, ray c, saida kalori , mr. Nice, kiujumla miziki na movie ndo zinawafanya wawapende watz,
starehe mnazoenesha kwenye movie kama maclub, mabar yenye nyama, majengo ya ukweli, ndo viwanya wadate na dar,kwa sabab ya kwao ni Ile mijengo ya kizamani sana, hata huko Maputo ni mijengo ya kikolon tu, wakat dsm imejaza ile ya kisasa