Sijui kwanini nimeumia hivi

Asante mkuu, nashukuru Mungu kwa hilo🙏🙏
 
Umenichekesha sana 😀,
Ushauri wangu ni huu👉
Biblia inasema utavuna ulicho panda, kwahvo kuna siku utatendewa wema mkubwa, kwahyo usione umepoteza.....
Kumbuka biblia haijasema utavuna ulipo panda, noo utavuna ulicho panda kwahyo usitegemee chochote kwa uliye msaidia...
Jambo la pili, jifunze kushukuru unapopata nafasi ya KUTOA kuna watu wanakosa wakuwasaidia.. kumbuka unaposaidia mtu ni kwa faida yako, wewe ndio unafaidi saana kuliko yeye kwahyo unapaswa kufurahi na kushukuru kwa kupata mtu wa kumsaidia...
Mwisho kabisa, we love yoo miss kf
 
Wanawake Kama hao Ni halali kutiwa na kuzalishwa na wababa tofauti tofauti na kutelekezwa imagine umeji sucrifice malipo yamekuwa Maumivu in short huyo anakuonea wivu..
 
Amen 🙏🙏.. Huwezi amini nimefumba macho kweli na kuyasema hayo😃.. Barikiwa sana kiongozi
 
Thank you🙏🙏.. Leo itabidi nitembelee huko nimewamisi sana kf.. Barikiwa mkuu
 
Kama utaweza kukaa kimya itakuwa best zaid, kuna wakati unatakiwa uufunze moyo wako kuwa na uvumilivu( jipge kifuani na sema moyo wang kuwa na subira). Halaf endelea na mambo mengne kabisaa na sahau hayo yote na unajua ni kwann brother?? Ukimpgia simu ni kama unataka kutuliza maumivu ya moyo wako tuu kwa sababu lazma atatafuta uongo wa kukwambia. Sasa kwa kuwa uneshaona picha ( ishara) kausha kabisa na vunja urafki nae kabisa huo hana maana ya kuwa rafk and mind you akishajua udhaifu wako atakumia tuu na haswaa akiwa na shida zake tuu.
 
Asante kwa ushauri mzuri mkuu, Barikiwa sana🙏🙏
 
Hapana, mtu mjinga ni lazima aambiwe kuhusu ujinga wake ili ajifunze na asije wafanyia wengine ujinga.
Huyo anatakiwa ajifunze kwa maumivu, next time akikosa msaada atajifunza kitu.

Mimi wiki iliyopita nadhani j4 ilinikumba ishu kama hii, nikamsaidia ili aende hospital nikakaa j5 nikampigia 2 times na sms juu kujua hali yake inaendeleaje lakini mpaka navyotype hapa hakuna response yeyote. Hiyo j5 alipost status ya bday party, simwambii kitu na wala simuombei shida ili anitafute tena ila nimenawa mikono tutabaki kuheshimiana tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…