Hiyo ilikuwa kabla ya mganga kabla hata uhusiano wao haujulikani kiivo inshu ya mganga si ya juzi hiyo ilikuwa kwenye kili music awardHuyo hamisa alimkosea mondi alipost picha wapo chumbani na mondi ukiachana na hapo alienda kwa mganga ili mondi ampende yeye pekee bahati mbaya video ikavuja.
wanyakusya wa wapi?Mpaka elimu? Hakuna binadamu aliyemzidi kila kitu binadamu wenzio hayupo, ndio maana wanyakyusa wanasema no body is perfect,
Usihamishe magoli hakuna binadamu aliyemzidi binadamu mwenzie ndio maana mond anaweza kunizidi umaarufu Mimi nikamzidi elimu iko hivo,
[/QUOTE]una Elimu gani wewe wa jalalaniUsihamishe magoli hakuna binadamu aliyemzidi binadamu mwenzie ndio maana mond anaweza kunizidi umaarufu Mimi nikamzidi elimu iko hivo,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli hata Bill gates hajatupita vitu vyote "Nam Sayin”
unamchukiaj msanii mpk na nyimbo zake ,ukiwa na sikio la mziki huezi kumchkia msanii mpk n nyimbo zake..
shukrani!Umemaliza kila kitu, mkuu ningekuwa karibu ningekupooza hata na wekundu watano waliobakia wote wamekomenti utumbo tu,
Wakuu.
Simpendi Diamond ile mbaya. Hajawahi kunikosea, sijawahi kukutana nae, hanisaidii wala simsaidii lakini kila nikisikia jina lake linanikifu mno.
Shetani bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Una shida ndugu, chuki ni kitu mbaya sana.Wakuu.
Simpendi Diamond ile mbaya. Hajawahi kunikosea, sijawahi kukutana nae, hanisaidii wala simsaidii lakini kila nikisikia jina lake linanikifu mno.
Shetani bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
We ni sawa na tone la maji baharini tu huna effect yoyote kwenye mziki wake.Wakuu.
Simpendi Diamond ile mbaya. Hajawahi kunikosea, sijawahi kukutana nae, hanisaidii wala simsaidii lakini kila nikisikia jina lake linanikifu mno.
Shetani bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikujibu nitagTeam Domo wanamponda mleta mada wakati na wao ni wale wale.
Wanamchukia Harmonize, Aslay, Mavoko, AliKiba Kwa Kuwa Hawana Shobo Na Domo.
Mashabiki Wa Domo Hawana Akili.
Uchawi sio lazima umiliki tunguli, unahitaji maombi mkuu.
Wakuu.
Simpendi Diamond ile mbaya. Hajawahi kunikosea, sijawahi kukutana nae, hanisaidii wala simsaidii lakini kila nikisikia jina lake linanikifu mno.
Shetani bhana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumchukia Mond ni kupunguza siku za kuishi, Angalia kufuru nyingine hii huko Kigoma..Wakuu.
Simpendi Diamond ile mbaya. Hajawahi kunikosea, sijawahi kukutana nae, hanisaidii wala simsaidii lakini kila nikisikia jina lake linanikifu mno.
Shetani bhana
Sent using Jamii Forums mobile app