dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 616
Wakuu nimefuatilia sana mitazamo ya wapenda masumbwi,karibu asilimia tisini walishangaa kupigwa kwa Antony Joshua
Kama kawaida yangu huwa sipendi kufuata mkumbo,ilinibidi nijiridhishe nione ubovu wa Ruiz
Kumbe Ruiz amepigana mara 34 na kushindwa mara moja,tena alipigana na Joseph Parker,nayo alishinda ila alifanyiwa figisu wakampa ushindi Parker
Sasa AJ kapigana mara ishirini na mbili sijui,utagundua huyu Ruiz ana experience kuliko Anton Joshua
Sasa watu hawafuatilii kazi kusema AJ kauza pambano
Don't judge a book by looking its cover
Go chibonge.
Kama kawaida yangu huwa sipendi kufuata mkumbo,ilinibidi nijiridhishe nione ubovu wa Ruiz
Kumbe Ruiz amepigana mara 34 na kushindwa mara moja,tena alipigana na Joseph Parker,nayo alishinda ila alifanyiwa figisu wakampa ushindi Parker
Sasa AJ kapigana mara ishirini na mbili sijui,utagundua huyu Ruiz ana experience kuliko Anton Joshua
Sasa watu hawafuatilii kazi kusema AJ kauza pambano
Don't judge a book by looking its cover
Go chibonge.