jaman kuna msichana niliachana naye pindi niko form four, tukawa hatuna mawasiliano kabsa, lakin sasa nina mawasiliano naye, lakin tukiwa tuna chat au tunaongea, huwa ana nilaum kwamba mim ndo niliarib mapenzi yetu au huwa ananiuliza kama nampenzi mwingine. huwa nashindwa elewa kwanin anakuwa na hisia nami na wivu akati tusha achana?
jaman kuna msichana niliachana naye pindi niko form four, tukawa hatuna mawasiliano kabsa, lakin sasa nina mawasiliano naye, lakin tukiwa tuna chat au tunaongea, huwa ana nilaum kwamba mim ndo niliarib mapenzi yetu au huwa ananiuliza kama nampenzi mwingine. huwa nashindwa elewa kwanin anakuwa na hisia nami na wivu akati tusha achana?