UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Bwashee umeanza mikakati ya kugombea huko kwenu Useri-Rombo? π πNipo hapa Lembeni kwa rafiki yangu Chediel tukibadilishana mikakati na Wanaccm maana wananiambia Lema na Mbowe juzikati walikuwa mitaa hii
Kwa taarifa yako kwa hai mbunge wa ccm kushinda itakuwa ngumu sana juzi kati ccm walikuwa na mkutano ni aibu na jana mbowe walikuwa na mkutano uwanja wa halflondon wananchi wakumsikiliza walikuwa wengi na wengi walikaa mbali tofauti kubwa na uliotangulia wa ccm kule mlimani chadema ina watu robo tatu ccm wana robo tu labda lifanyike lile jambo la 2020Kiukweli mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe asiwadanganye wanachama wake, Kilimanjaro na Arusha CCM ni Imara sana
Jimbo pekee lenye changamoto ni Karatu Arusha lakini Majimbo yote ya Kilimanjaro ni CCM
Nipo hapa Lembeni kwa rafiki yangu Chediel tukibadilishana mikakati na Wanaccm maana wananiambia Lema na Mbowe juzikati walikuwa mitaa hii
CCM oyee πππ
Rudia swaliMzee Mbowe atakuwa rais?juzi nimecheka sana eti binamu yake mzee Mbowe anasema wanachi walinde kura ,hivi wale watoto wake wanaotunzwa watakuwa kwenye ulindaji kura?
Hili lijinga lipo Makete halijaenda popoteWakati unapita hayo maeneo bwashee ulikuwa umekunywa pombe gani?
Hapo jaribu kupita hayo maeneo bila hiyo pombe uliyokunywa ikiwa kichwani.
Ulikuwa umeongozana na nani?Nimetembelea Ofisi za CCM na vijiwe vya Chadema na kupata taarifa za jumla
CCM ina watu walevi na wajinga kama huyuKwahiyo ulimopita watu waliokuona walikuwa wanakupigia makelele kuwa CCM itashinda! Unatumia kilaji gani nikuagizie.
Kilimanjaro hawaitaki CCM kama walivyomkataa shetani na kazi zake2015 na mbaya zaidi 2020 CCM ya Jiwe ilinajisi uchaguzi waziwazi. Taifa halijakuwa na uchaguzi toka Kikwete alivyostaafu.
Mh. Mbowe yupo sahihi uchaguzi huru ma haki CCM haipati hata jimbo moja Kilimanjaro
Bila shaka Umeingia kwenye mioyo ya watu hongera bwasheeKiukweli mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe asiwadanganye wanachama wake, Kilimanjaro na Arusha CCM ni Imara sana
Jimbo pekee lenye changamoto ni Karatu Arusha lakini Majimbo yote ya Kilimanjaro ni CCM
Nipo hapa Lembeni kwa rafiki yangu Chediel tukibadilishana mikakati na Wanaccm maana wananiambia Lema na Mbowe juzikati walikuwa mitaa hii
CCM oyee πππ
Bangi ya NjombeKwahiyo ulimopita watu waliokuona walikuwa wanakupigia makelele kuwa CCM itashinda! Unatumia kilaji gani nikuagizie.
UlanziBangi ya Njombe
Labda Mbowe anadikiri Hai ndiyo Kilimanjaro. Hai na Vunjo hata mimi najua ndiyo ngome za CDM, lakini majimbo mengine watahenya tuKiukweli mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe asiwadanganye wanachama wake, Kilimanjaro na Arusha CCM ni Imara sana
Jimbo pekee lenye changamoto ni Karatu Arusha lakini Majimbo yote ya Kilimanjaro ni CCM
Nipo hapa Lembeni kwa rafiki yangu Chediel tukibadilishana mikakati na Wanaccm maana wananiambia Lema na Mbowe juzikati walikuwa mitaa hii
CCM oyee πππ
Ulanzi ni togwa toka kwenye mianzi, hauleweshi.Ulanzi
Ukinywa mchana ni mbaya sn, kumbuka Njombe kuna utapiamloUlanzi ni togwa toka kwenye mianzi, hauleweshi.
Sahihi kabisaKwa hiyo,umeanza ramli tayari.
Ifike mwone hata aibu.
Chadema sio kwamba anapambana ccm miaka yote,Bali Ccm ni maiti inayotembezwa na vyombo vya DOLA.
Kiufupi,Chadema hamuiwezi,ipo mioyoni mwa watu.
Shukurun sana,wananchi wengi Bado ni mazombi yaliyochangamka ukijumlisha na Askari polisi wajinga wajinga.
Anasema hivyo kwa hofu ya kuibiwa kura! Kama atashindwa wakati Tume ni huru na Wananchi wameamua wenyewe kwenye sanduku la kura hata asiposhinda urais! Ili mradi haki itakuwa imetendeka.Mzee Mbowe atakuwa rais?juzi nimecheka sana eti binamu yake mzee Mbowe anasema wanachi walinde kura ,hivi wale watoto wake wanaotunzwa watakuwa kwenye ulindaji kura?
Endelea kukaririHili lijinga lipo Makete halijaenda popote