Sijui ni kwanini kila mara nashindwa kabisa kuwatofautisha hawa Members wawili maarufu humu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Najitahidi sana kuwatofautisha lakini kila mara najikuta nawachanganya sana na kuna wakati huwa nahisi labda nachati na huyu kumbe nachati na yule. Halafu ni Members ambao wana share vitu vingi sana in common hali ambayo ndiyo huwa inazidi tu kunichanganya. Halafu nimetokea kuwachangamkia na hata wao wamenichangamkia sana.

Members wenyewe ni Nifah na MBITIYAZA.

Yaani ninawapenda na nawakubali mno ila sijui ni kwanini siku hizi Nifah kapotea kabisa humu JF ila nafurahi tu kwamba MBITIYAZA ameweza kufuta pengo lake na sasa naanza taratibu kumsahau Nifah.

Hii ndiyo JamiiForums bhana!!!!!!!
 
taarifa au swali?
 
Nifah alipotea baada ya The bold kupigwa BAN.

The bold akiachiwa na yeye anarudi
 
Nifah alisema atakuja mpaka hapo The Bold atakapotoka kifungoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…