sijui ni kweli

Kichenza

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2018
Posts
222
Reaction score
243
naomba kuuliza mana kuna jamaa apa kaniambia eti ukitaka kupanda ferari lazima uvae helment... hivi ni kweli
 
Write your reply...ni kweli kabisa mkuu na inabidi uvae chupi ya chuma maana siti zake zinaumiza makangaraga pia vaa braa ya mbao kwakua wewe n mwanamke ila si vidume ukiingia kitumbo wazi haina shida........Hata sisi tunajua kutumia bangi sio wewe tu
 
kwa hiyo nyie wanawake huwa mnavaa chupi na kuvuta bangi kabla ya kuingia kwenye ferari
 
Hapana sis wanaume tunavaa bukta na kuvuta bangi kabla ya kuingia kwenye Ferrari nadhan utakuwa umenielewa Dada yangu
nimekuelewa mama yangu lakini mbona baba aliniambia et ulikuwa unavaa mfuko badala ya chupi kabla ya kuingia kwenye ferrari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…