Let me get this straight...Kama ana ujauzito wako na wewe hukujua ina maana ulilala na huyo mwanamke within 9moths ago...probably less tuchukulie average ni 5months ago. Ulianza uhusiano na mkeo mtarajiwa baada ya kuachana na huyo mwanamke...so mkuu ndani ya 5months ulishamwona, ukampenda, ukamtongoza, ukakuza uhusiano, ukaengage, mkatambulishana nyumbani pande mbili, ukalipa mahari, ukaandikisha ndoa na sasa mipango ya harusi yenyewe? Mbona ndoa za siku hizi zina kazi!
Kama si hivyo basi ulicheat...
Hakuna hata mmoja; yupo jaama yangu kasomesha zaidi ya wanne lakini hadi leo ni bachela over 48 yrs sasa!
kaka nakuambia hivi, kwanza ulikosea sana pale huyu binti alipofukuzwa kwao wewe ukamsaidia inamaana uliendelea kulea upumbavu wa watoto wa kike kwa mwavul wa mapenzi pasi kujua kwamba wewe huwez kuwa na uchungu kuliko mzazi wa binti huyu.
sitak kuamni kwamba wewe ulimuonea huruma kumbe tayari ulikuwa mfariji mtaabishaji kwa huyu binti. ungekua makin ungemsaidia arud kwao aka reconcile na wazazi wake kuliko kujibebea mzigo wa kumsomesha binti asiyejali wala kukthamini.
huyu binti toka kwao anatabia mbaya na ndio maana wazazi /walez wake walimfukuza na ulipomchukua with hizo elf 40 kwa wk ndio ulimpa wigo wa kuwa kahaba mzuri.
baada ya kukwambia hayo sasa endelea na mipango yako ya ndoa, wala asikupe presha huyu na tena mpige mkwara na ikiwezekana mchukulie rb kiwa kukutishia maisha wewe manake kwa maneno yako anaweza hata kumdhuru mkeo.
kwawanaume wengine jamani muwege mnatumia akili msijiingize kwenye mitego ya kusomesha binti with hope ya kupata returns itawakosti.
Hakuna hata mmoja; yupo jaama yangu kasomesha zaidi ya wanne lakini hadi leo ni bachela over 48 yrs sasa!
Nilikuwa na mpenzi ambaye tulianza uhusiano mnamo mwaka 2010 kipindi hicho yeye alikuwa anasoma lakini wakaja wakakosana na wazazi wake hivyo akawa ni mtu wa kutanga tanga, mimi nikaona sio vizuri aendelee kuhangaika so nikachukua jukumu la kumsaidia kwa kumsomesha huku nikiwa na matumaini kwamba siku moja Mungu akijalia atakuja kuwa mke wangu,nilimlipia school fees tsh 600,000/= na kila wiki nilikuwa nampatia elfu 40,000/= ya matumizi lakini siku zilivyozidi kwenda mbele nikaja kugundua kuwa kumbe alikikuwa hasomi wala shule alikuw haendi, nilipo muuliza akakataa kata kata.
So mimi nikaona huyu mwanamke hanifai nikaamua kumwambia ukweli kuwa mimi na yeye basi lkn akaendelea kuning'ang'ania na kunitishia kuwa endapo nitamuacha ataniua, mimi nikaamua kutafuata mpenzi mwingine ambaye nilimpeleka kwa wazazi wangu, na wote walimfurahia na ndipo tukaanza process zote za kutoa mahali, hadi ninavyoandika post hii tayari vikao vya ndoa vimeshaanza na ndoa itafungwa mwezi ujao, cha kushangaza yule mwanamke wangu wa kwanza alipopata habari za mimi kuoa alinijia juu na kuniambia kuwa ana ujauzito wangu na tayari ameshawaambia wazazi wangu, na anapanga kupinga ndoa kanisani. JAMANI HAPA NILIPO MWENZENU NIMECHANGANYIKIWA HATA SIJUI NIFANYEJE?
Sijui ni kwa nini wanaume wanaendelea kuangukia kwenye huu mtego wa kusomesha mabinti kwa mategemeo ya kuja kuwaoa??? Hivi wapo waliofanikiwa kuwaoa mabinti waliowasomesha??
Let me get this straight...Kama ana ujauzito wako na wewe hukujua ina maana ulilala na huyo mwanamke within 9moths ago...probably less tuchukulie average ni 5months ago. Ulianza uhusiano na mkeo mtarajiwa baada ya kuachana na huyo mwanamke...so mkuu ndani ya 5months ulishamwona, ukampenda, ukamtongoza, ukakuza uhusiano, ukaengage, mkatambulishana nyumbani pande mbili, ukalipa mahari, ukaandikisha ndoa na sasa mipango ya harusi yenyewe? Mbona ndoa za siku hizi zina kazi!
Kama si hivyo basi ulicheat...
HONGERA SANA BROO,NI WATU WACHACHE SANA WENYE UWEZO WA KUONA NA KUCHUKUA HATUA MAANA WENGINE HUKAA NA KULILIA MUDA NA GHARAMA WALIZOTUMIA. huyo si mke ikiwa leo anakwambia ukikataa atakuua vipi akiletwa ndani. Ndoa haipingwi kirahisi hivyo tena hata kama ujauzito ungekuwa wako sheria haikufungi wewe kuoa ila tu ungelazimika kumtunza mwanao