Sijui nimeamkaje tu leo?

huna haja ya kuhuzunika maana naweza nikaacha kule nikaja kwako...yaani haya mambo na ma-expereince niliyoyapata huko nikakupa wewe...it is just kuniPM tu.. wala haitakuumiza kichwa...I can change my mind just to help you...



We,,,,,,We,,,,,,We.........:boink::boink::croc:.
 

hata wala hujanikwaza..ila umenifurahisha tu..nakwambia kama ukiwa na mimi kule naacha kabis...yaani unakuwa umenifanyia total transformation...kitakachofuata ni nkula bata tuuuuuu............usijikoseshe hii bahati...pls
 

Sawa mkuu,nimekusoma sheikh Yahya.
 
hata wala hujanikwaza..ila umenifurahisha tu..nakwambia kama ukiwa na mimi kule naacha kabis...yaani unakuwa umenifanyia total transformation...kitakachofuata ni nkula bata tuuuuuu............usijikoseshe hii bahati...pls

ahhhh bwana inaonekana we wapenda kula keki bila kuikata..
mie sitaki hayo..
mmmmhhhh ka we umeshazoea jimamamie ngoje nicheze mbele
ahhh sijakwambia uache huko bali nimekwambia utafute binti anayejua hayo mambo...
mmmhh kwa kweli umenichekesha ..
picha ninayopata kichwani ni hatari mmmhhh
mama mtu mzima anakilo ka 120 na kakuzidi umri kwa miaka 20..
mmmhh mbona hii hatari hii sasa we si uazama tu huko ndani nakupotelea kabisa..
kunaraha gani na mnafanya style moja tu .. kwa sababu hatakujigeuza hajiwezi..
kwa kweli na hapo usikute anakijana umri sawa nawe....
kwa keli poleni sana

AD
 

uzito wake ni kama 85, siyo mzito kivile halafu wepesi wake haumithiliki...huwa yuko flexible mno..and she is multistyled...wala we usihofu kwamba ntakuwa mtu wa namna gani...am a gentleman...if u agree, i can show u another world which is very enjoyable.
 
being with women of older age is better than being with these young ladies
 

mmmmmmhhhh kwa kweli basi nta kuacha uendele na huyo bibie..
mie mmmhhh im enjoying my world right now and i will not exchange for any thing..
na kama we una muinjoy huyo bibie haya basi..
ngoja mi nisikusumbue
au nikupe maneno matam bure..mmmmhhh

AD
 
mimi hata nikikuzidi mwaka mmoja......nakutimulia kulee

hakyanani preta kama ulikuwa kichwani kwangu unanisaidia kuwaza hata mimi nikigundua nimekuzid hata mwaka nakutimua yaani nina aleji kabisa na niliowazidi umri
 
embu angalia 50 yrs muzee halafu choka mbaya kama kuna demu anatazama nadhani umenielewa swala la kumzidi umri sipo tayari kulea chekechea mie ah
 
hakyanani preta kama ulikuwa kichwani kwangu unanisaidia kuwaza hata mimi nikigundua nimekuzid hata mwaka nakutimua yaani nina aleji kabisa na niliowazidi umri



Sababu inakuwaga ni nini jameni?
 
Sababu inakuwaga ni nini jameni?[/QUOTE

Mwanamke anataka adekezwe na kubembelezwa, na siku zote mwanamke ni mkubwa. Sasa nikiwa na kiserengeti si itakua kituko! Mie hata tukilingana simtaki!
 
Ati wanasema "Mwanamme hakui kwa sababu hazai. Mzazi mama, mwanamme mlezi tu". UFATAKI MBAYA JAMANI, WANAUME TUACHE HIZO.
 
 
Ati wanasema "Mwanamme hakui kwa sababu hazai. Mzazi mama, mwanamme mlezi tu". UFATAKI MBAYA JAMANI, WANAUME TUACHE HIZO.






Mkuu mi naona haya masuala niyapeleke TAMWA tu,wale si ndio wanapigania usawa wa jinsia,naona na hili nalo watatusaidia kulipigania ili watu wajivinjari kwa raha zao.
 
Ukichunguza kwa umakini kabisa utagundua akina mama ni WAGUMU wa kufanya mapenzi na wanaume waliowazidi umri. Sababu zipo lakini mojawapo ni kitu kama dharau iliyojengeka akilini mwao kuwa ni kitu kibaya kumvulia nguo mwanaume aliyemzidi umri hapa naomba niweke wazi kuwa umri unaokusudiwa ni kuanzia miaka 5 - 35. Huwa wanahisi kama wanajidhalilisha kwa sababu kuu kama mbili:-

  1. Kwanza mwanamke aliyekuzidi mfano miaka kama 10 hivi atakuwa ameshazaa kama watoto wawili hivi au zaidi hivyo ipo hofu kwa wanawake endapo atamvulia chupi mwanaume wa rika la tofauti hiyo ni LAZIMA kutakuwepo na tofauti ya maumbile na rika lake hivyo wanawake hawana imani kuwa mwanaume atamchuliaje? Hebu fikiria tu kama utatembea na mtu aliyekuzidi umri kwa tofati ambayo ni material kuna hali fulani ya kushangaa maumbile ambayo kwa wanaume hawaonekani kujali zaidi kuliko wanawake.
  2. Wanawake huwa wanabadilika sana kuliko wanaume hivyo kama mwanamke na mwanaume wametofautiana sana mwanamke anahisi baadae inaweza ikawa shida zaidi.
Mwisho kutokana na mmonyoko wa maadili, hivi sasa vitu hivyo vinaanza kama kupitwa hivi na ndiyo maana utaona kila aina ya mahusiano ambayo hapo kale yalikuwa nadra. Hii inaweza kuwa imechangiwa na utandawazi, umaskini, malezi mabovu bila kusahau ndiyo tunausogelea mwisho kwa dizaini ya kutenda kila aina ya uovu. NI MTAZAMO TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…