Sijui nimekosea wapi chapati zinavunjika kama mti mkavu

Sijui nimekosea wapi chapati zinavunjika kama mti mkavu

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Mambo ya kuthubutu haya sometimes noma sana!! Yaani nimejifunza humu humu JF jinsi ya kupika Chapati.

Sasa leo si wageni wakawa wengi hapa home yaani wageni wa kike, nikaona
hapa ndo pa kuchukua ujiko.

Mwanaume nikafuata hatua zote tena kwa kusoma, nikapika kama chapati nnehivi!!! Kila ninayotest inavunjika "Taa" yaani kama kijiti.

Upande niliokuwa nafanyia shuguli ulikuwa unaniruhusu kutoroka muda
huu napost natoka banda umiza ambako nilijistiri kwa kuhofia aibu ya kuombw chapati ngumu.

Zote na yale madonge yaliyosalia nimeshaziflash huko chooni.

1. Unga ulikuwa nusu
2. Niliweka Blueband
3. Chumvi
4. Niligongea mayai 2 (mawili)
5. Hiliki ilikuwemo
6. Nikachanganya na mafuta ya kula kidogo
7..Nikatia maji ya uvugu vugu.

Dah, Noma sana!!
 
Nimecheka!!!mie chapati nilishashindwa kuzifanya ziwe nzuri kama nazokula akipika mwingine na sina muda wa kurudia rudia....na Sakayo alishanielekeza lakini wapi!!
 
Nimecheka!!!mie chapati nilishashindwa kuzifanya ziwe nzuri kama nazokula akipika mwingine na sina muda wa kurudia rudia....na Sakayo alishanielekeza lakini wapi!!
Weekend hii tushirikiane kulwa, mapacha hatuwezi shindwa.
 
Chapati kinachonichosha kukanda baada ya hapo kusukuma na kupika moja moja

Siku hizi nanunua tu nna chimbo langu la chapati nzuri

Nikipata mzuka labda kupata mashine ile dough mixer
 
Mambo ya kuthubutu haya sometimes noma sana!! Yaani nimejifunza humu humu JF jinsi ya kupika Chapati.

Sasa leo si wageni wakawa wengi hapa home yaani wageni wa kike, nikaona
hapa ndo pa kuchukua ujiko.

Mwanaume nikafuata hatua zote tena kwa kusoma, nikapika kama chapati nnehivi!!! Kila ninayotest inavunjika "Taa" yaani kama kijiti.

Upande niliokuwa nafanyia shuguli ulikuwa unaniruhusu kutoroka muda
huu napost natoka banda umiza ambako nilijistiri kwa kuhofia aibu ya kuombw chapati ngumu.

Zote na yale madonge yaliyosalia nimeshaziflash huko chooni.

1. Unga ulikuwa nusu
2. Niliweka Blueband
3. Chumvi
4. Niligongea mayai 2 (mawili)
5. Hiliki ilikuwemo
6. Nikachanganya na mafuta ya kula kidogo
7..Nikatia maji ya uvugu vugu.

Dah, Noma sana!!
nunua tu dukani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chapati kinachonichosha kukanda baada ya hapo kusukuma na kupika moja moja

Siku hizi nanunua tu nna chimbo langu la chapati nzuri

Nikipata mzuka labda kupata mashine ile dough mixer
unaweza pika hata tatu kwa pamoja ni rahisi yan
 
Back
Top Bottom