Sijui nimenusurika!!!!

nazani huyu dada hayupo sawa kichwani cz akili tmamu awez kuweka iki alichocoment kwenye thrd anacheza na mawazo yetu...
 
kama kilitoka wizarani hakitakuwa fake ila kukamatwa sahau hii nchi ishauzwa kila kitu shaghalabaghala.......

Unamdanganya mwenzio. Kukamatwa inawezekana tena ni rahisi mno kuliko unavyofukiria. Au umesahau wale waliokamatwa na mamlaka ya vitambulisho vya taifa???!!
Stori iko kama hivi:
Cheti kina serial number, index number, jina na mwaka.
Hivyo vingine unaweza ukajitahid ukafoji na usikamatwe. Ila ishu iko ktk serial number. Kwa mfano, mwaka 2011 serial number zimeanzia 2222 na kuishia 3333. Kwa hiyo cheti chochote kitakachokuwa nnje ya namba hizo, hicho ni feki. Yaani ukipewa cheti namba 2221 au 3334 kwa mwaka 2011, hicho ni feki. Ila cheti hiki cha namba 3334 kinaweza kuwa orijino kwa mwaka 2012. Tatizo litakuja ktk majina ya mwanafunzi, jinsia na masomo/combinations husika.
So, serikali kupitia necta haijahamua kukamata vyeti feki, ikiamua ni rahis sana.

 
Kwa serikali tuliyonayo hayo ni mambo ya kawaida mbona wengi wapo ifm, cbe n.k.
 
hivi unajua vyei vingi sana vinabaki NECTA bila kuchukuliwa na wenyewe?? ni rahisi sana kuvipata na kuchongesha cheti cha kuzaliwa kinachoendana na jina la cheti..mbona watu wengi sana wameshapata hivi vyeti tena toka pale BAMAGA barazani na wanafanyia kazi tuu
 

Siku hizi nako kuchonga cheti cha kuzaliwa nako ni kugumu, kwani rita wako makini!

 

wametumia jina langu nililofanyiwa mtihani mwaka ule ule shule ileile na index no ileile na matokeo wama edit kwenye internet yaaan full kujiachia tu.
 
Ahsante kwa kutupa dili kwani wengine tunalipwa salary za bure.Sasa ngoja tufanyie kazi maake naona umetulahisishia kazi labda uwe unadanganya au unafanya kautan kupima watu.Kama ni kweli ni wewe au rafiki yako mwambie tutamnasa na wala hatuna haraka.POLE....
 

Kuna uwezekano unalosema likawa ni kweli kutokana na uozo wa nchi yetu hii ila uko katika risk kubwa sana, japo nina wasiwasi kama kweli walivipeleka wizarani kwani hao watu wa vyuoni nao wahuni wanaenda kuviangalia kwenye jua tu kama vina alama ya twiga ila simply kwa wizarani lazima wangegundua kwani matokeo yangekufunga.
 
Wewe ni raia mwema ila sema tu kuna mtu umeamua kumlengesha, kwa wewe kijifanya ndio yeye , inakubalika hiyo lazima tuwaumbue hili elimu ziheshimiwe
 
happy amos tena bora ungekaa kimya kuna mama mkwe wangu namletaga hapo nikija ntaongea na mratibu haiwezekani mtu una cheti feki still unaruhusiwa kufanyia majaribio kwa binadamu,hold tight im on my way:A S-baby:
 
happy amos tena bora ungekaa kimya kuna mama mkwe wangu namletaga hapo nikija ntaongea na mratibu haiwezekani mtu una cheti feki still unaruhusiwa kufanyia majaribio kwa binadamu,hold tight im on my way:A S-baby:

ok karibu sana
 

wamekugundua baada ya kuandika humu kwenye jamvi jiandae
 
asa unaomba ushauri wa nn kama unajua unachokifanya? be serious wewe
 
jaman nimefikiria ndo maana nikaandkika sijakurupuka maisha ni popote lazima niandike coz sijaanza mimi ndo nauliza watakuja kunifatilia baadae au ndo imetoka

..uwe na amani. nchi hii kila kitu ukitaka utapata,kuanzia cheti cha kuzaliwa, paspoti,leseni ya udereva, mpaka mihuri ya ikulu..liwalo na liwe..
 
Wewe mwehu mwizi unaleta utani na elimu yako ya kuunga unga leo unajitangaza

Walahi sio mzima. Sasa sijui kaleta tumshauri au sijui vipi? AMA kweli dunia ina mambo.
 
unachosema ni kweli, tulianza mbali, kuvisha majoho watoto wanao hitimu chekechea, tukagawiana udaktari, tunanunua digree online, mtu anasema, nipe $1500, nitakupa masters, $3200 phd. tunajiona wajanja

leo happy amos anatangaza kununua cheti bila woga. jana mangi wa ukweli alitangaza kuwa amepoteza cheti, anataka achonge kingine hataki kutumia barua za necta, zina mkera. upande mwingine tunaingia kwenye jumuiya za watu makini- EAC, wakenya wanaofanya kazi usiku na mchana , wanao umiza kichwa kuona na kutumia fursa. sisi tunafanya upuuzi huu. tujiandae kuwa watumwa , kama hivi ndivyo tumeamua kufanya
 
Nikitaka cha uprofesa walikuambia ni sh ngapi? msimtishe binti wa watu.mbona mjengoni kuna mipasho siku hizi, wamesomea wapi?Hasa ile ya komba aliyosema waende wotemilembe. kasoro m4c.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…