Sijui nimsaidieje

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO MBILI,MIA TANO MOJA YA NYANYA na MIA TANO NYINGINE YA VITUNGUU sasa KAKOSEA KAZICHANGANYA HAJUI TENA IPI NI YA NYANYA na IPI NI YA VITUNGUU!!!
.
.
NA PESA ZOTE ANAZO KAZISHIKA MKONONI,EBU NIAMBIE NIMFANYAJE??????
 
lol! chukua peni andika kwenye mia tano ya kwanza nyanya na ya pili vitunguu
 
lol! chukua peni andika kwenye mia tano ya kwanza nyanya na ya pili vitunguu

Hawa watoto wa hizi siku ni wajinga sana mkuu....
Enzizetu tulikua tukitumwa, tuna kimbia huku tukiimba kwa kurudia vile tulivyo tumwa, na tulikua hatuchanganyi mikono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…