Sijui tunaelekea wapi, Timu za kibongo kusajili wachezaji kutoka nje ya Africa Mashariki na kati

Sijui tunaelekea wapi, Timu za kibongo kusajili wachezaji kutoka nje ya Africa Mashariki na kati

1kush africa

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2016
Posts
9,552
Reaction score
13,090
Labda humu humu East africa, lakini nje ya hapo ni kujipalia mkaa,,

Hivi kamati za usajili zinafanya kazi gani,,

au ndo mnapga pesa kwa style hiyo
 
Wakat samata alisajilliwa huko
Europe mbn wao hawakumind
 
Sio lazima sote tuvute bangi. Wengine bwieni unga.
 
Back
Top Bottom