Sijui tusimamie kauli ipi hapa?

Sijui tusimamie kauli ipi hapa?

Konny Joseph

Senior Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
118
Reaction score
199
Screenshot_20240417-165827_Telegram.jpg
Screenshot_20240416-175308_Chrome.jpg


Nashindwa kuelewa tusimame kwenye kauli ya yupi!!

Sielewi ni kauli ya yupi ina uhalali baina ya hawa wawili!!

Sielewi mbaya hasa kwa mujibu wa sheria hapa ni nani,baina ya wanaosemwa wanatukana viongozi mitandaoni,na huyu anaetangaza kuwapoteza hao wanaotukana viongozi mitandaoni tena kwa matamko ya wazi hivi!!

Hivi ina maana Mh.Masauni yeye hana mamlaka ya kushughulika na watu kama hawa!!

Mamlaka yake ni kushughulika na wanaokosoa serikali tu mitandaoni!!

Au kwa sababu huyu kavaa hili jokho la kinabii,ndio maana anachosema na kutenda ni sawa tu kwa mujibu wa sheria.

Serikali inapaswa ijitathimini sana.Sioni haja ya kuanza kutoa vitisho kwa wakosoaji wa serikali,ikawaacha hawa wanaovunja sheria hadharani.

Ni aibu mno!!!
 
Upinzani toeni neno kuhusiana na matamshi ya huyu kijana wa UVCCM Bokoba, haya siyo ya kudharau
 
Na kati yao ushahidi unadai wako "MAWAZIRI" wazee hukumbuka, wekelea Kanyau....
 
Upinzani toeni neno kuhusiana na matamshi ya huyu kijana wa UVCCM Bokoba, haya siyo ya kudharau
Kwani bwana yule boss wa wa-dudu hapo AR, alitaja wapinzani?! Hakuna mpinani "WAZIRI" bana.
 
mimi nipo sana mtandaoni, Iła hihi kauli za viongozi wa CCM kuanzia Makonda hata Kibajaji leo Bungeni na hii sasa zinanifanya nitafute hayo matusi, ni nani anayetukana, na ni mawaziri wepi wanao wasponsor hao wanaotutakana. Hivi watanzania wanaona mangapi mitandao? Wanaakili ya kujua huu ni ujinga, haya matusi tu, haya yana ukweli nk. Seriali ijishughulishe na mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom