GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
1. Unajifanya una haraka sana kwanini basi hukulala tu huko huko tokea jana?
2. Kama una haraka sana na unataka Kuwahi Kodisha basi Bombadia au Drimulaina Mpuuzi Wewe!
3. Waliowahi sasa wako Makaburini Wewe unachoharakisha hadi unatugonga ni nini?
4. Huna lolote Spidi yote hiyo unawahi Kumkopa Mtu huko!
5. Siku zingine ukitaka kuwahi uwe unameza Injini ya Jet ili utupite humu kama Mshale sawa?
6. Naona unataka Kushindana kuwahi kama Inzi wa Chooni!
7. Kwa Miguu yako hiyo iliyoelekea Kushoto unategemea utawahi kweli huko unakoenda?
Maneno mengine kama yapo mtayaweka nyie ila Mimi kwa wiki hii nimeyasikia haya tafadhali.
Nawasilisha.
2. Kama una haraka sana na unataka Kuwahi Kodisha basi Bombadia au Drimulaina Mpuuzi Wewe!
3. Waliowahi sasa wako Makaburini Wewe unachoharakisha hadi unatugonga ni nini?
4. Huna lolote Spidi yote hiyo unawahi Kumkopa Mtu huko!
5. Siku zingine ukitaka kuwahi uwe unameza Injini ya Jet ili utupite humu kama Mshale sawa?
6. Naona unataka Kushindana kuwahi kama Inzi wa Chooni!
7. Kwa Miguu yako hiyo iliyoelekea Kushoto unategemea utawahi kweli huko unakoenda?
Maneno mengine kama yapo mtayaweka nyie ila Mimi kwa wiki hii nimeyasikia haya tafadhali.
Nawasilisha.