GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Noma mkuu watz ni noma1. Unajifanya una haraka sana kwanini basi hukulala tu huko huko tokea jana?
2. Kama una haraka sana na unataka Kuwahi Kodisha basi Bombadia au Drimulaina Mpuuzi Wewe!
3. Waliowahi sasa wako Makaburini Wewe unachoharakisha hadi unatugonga ni nini?
4. Huna lolote Spidi yote hiyo unawahi Kumkopa Mtu huko!
5. Siku zingine ukitaka kuwahi uwe unameza Injini ya Jet ili utuoite humu kama Mshale sawa?
6. Naona unataka Kushindana kuwahi kama Inzi wa Chooni!
7. Kwa Miguu yako hiyo iliyoelekea Kushoto yote unategemea utawahi kweli huko unakoenda?
Maneno mengine kama yapo mtayaweka nyie ila Mimi kwa wiki hii nimeyasikia haya tafadhali.
Nawasilisha.
Noma mkuu watz ni noma
Huwa nafanya hivyo kila mara yawezekana uliniona mim halafu natoa na kidole kimoja cha kati.Kama barabara ni moja basi wanyuma akizidisha honi, wambele utamsikia
'Pita juu'.. Anatoa na mkono kwa dirishani kumuonyeshea ishara ya kupaa kwa juu.
Wengine utasikia.. "una haraka kama unaoga nje"
Alafu hii tabia tunayo wengi wetu unakuta magari sio yetu tumeazima tu.Huwa nafanya hivyo kila mara yawezekana uliniona mim halafu natoa na kidole kimoja cha kati.
Hahaha kwangu mie ni miaka ya 2000. Nilishaacha kuendesha baada ya kuishi nchi ambazo kuendesha ni hatarishi ila nikipeleka watoto IST Upanga zamani walikuwa wanasema mama unaendesha kwa kasi. Those were my days. Sasa hata kushika usukani siwezi.Alafu hii tabia tunayo wengi wetu unakuta magari sio yetu tumeazima tu.
[emoji125] [emoji125]
IST school fees ni kiasi gani?Hahaha kwangu mie ni miaka ya 2000. Nilishaacha kuendesha baada ya kuishi nchi ambazo kuendesha ni hatarishi ila nikipeleka watoto IST Upanga zamani walikuwa wanasema mama unaendesha kwa kasi. Those were my days. Sasa hata kushika usukani siwezi.
IST school fees ni kiasi gani?