Sikia Mngazija akizungumza: Ni kama Kiswahili kabisa

Sikia Mngazija akizungumza: Ni kama Kiswahili kabisa

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681

 
Last edited by a moderator:
wangazija ni wabantu,kwa hiyo lugha wanayozungumza itakuwa inafanana sana na hizi lugha zetu ambazo ndizo ziliunda lugha ya kiswahili pamoja zilichanganya na lugha ya kiarabu,kweli kile ni kiswahili niliwahi kutembelea Commoro zamani walishangaa sana kuona kuwa nilikuwa ninawasikia wakiongea lugha yao kwa asilimia kubwa sana.Wale ni ndugu zetu wenzetu.M/Mpamba.
 
wangazija ni wabantu,kwa hiyo lugha wanayozungumza itakuwa inafanana sana na hizi lugha zetu ambazo ndizo ziliunda lugha ya kiswahili pamoja zilichanganya na lugha ya kiarabu,kweli kile ni kiswahili niliwahi kutembelea Commoro zamani walishangaa sana kuona kuwa nilikuwa ninawasikia wakiongea lugha yao kwa asilimia kubwa sana.Wale ni ndugu zetu wenzetu.M/Mpamba.

Hapana mkuu, Kingazija ni lahaja ya Kiswahili. Inajumuishwa katika kundi la lahaja za Kusini na Pwani...
 
Sasa kiswahili sio lugha inayotokana na kibantu?hii mambo ya sijui lakhaja sijawahi sikia hata siku moja,watu wa pwani ya coast ya east Africa walioanza kuishi hizo pande wote walikuwa ni watu wa kabila za wabantu na sio vinginevyo kwa hiyo lugha yoyote itakayo jitokeza itakuwa asili na chimbuko lake ni kibantu.End of story.
 
Hapana mkuu, Kingazija ni lahaja ya Kiswahili. Inajumuishwa katika kundi la lahaja za Kusini na Pwani...

ndio upo sahihi kusema kingazija ni lahaja ya kiswahili lakini wangazija ni wabantu pia ,so MSHERWAMPAMBA alikuwa sahihi kabisa
 
Last edited by a moderator:
Hi haya yote ya kujiita lahaja ya watu wa pwani yote haya yanajitokeza ktk kutaka kuukacha ubantu tuu na sio vinginevyo,nimeona sana jamaa wa pembezoni ya pwani hususani east afrika wanapenda sana kujitafutia nasaba nyenginezo ambazo hata asili nazo hawana na hawazijui ili waonekane wao hawana ubantu ndani ya nenes zao najua hii statement yangu itawakwaza baadhi ya wachangiaji humu ndani lakini ukweli ndio huo.M/Mpamba.
 
Hi haya yote ya kujiita lahaja ya watu wa pwani yote haya yanajitokeza ktk kutaka kuukacha ubantu tuu na sio vinginevyo,nimeona sana jamaa wa pembezoni ya pwani hususani east afrika wanapenda sana kujitafutia nasaba nyenginezo ambazo hata asili nazo hawana na hawazijui ili waonekane wao hawana ubantu ndani ya nenes zao najua hii statement yangu itawakwaza baadhi ya wachangiaji humu ndani lakini ukweli ndio huo.M/Mpamba.

Lahaja za Mrima na Mvita zinaukana ubantu kivipi?

Lahaja ya Congo wanayoongea Kiswahili cha Kivu huko zinaukana vipi ubantu?
 
Nimetumia neno nasaba yaani wanapenda sana kujipa unasaba mwingine na yote ni kutaka waonekane ni watu tofauti na wengine hapa Afrika ya mashariki,kwa mfano baadhi ya watu wanapenda kujinasibisha na watu wa mataifa mengine na mfano mkubwa ni hapa hapa kwetu kuna baadhi ya wenzetu eti na wao wanajiita kuwa wao ni wahindi au waarabu sijui yote haya yanatokea wapi au ni kasumba gani tunazo sisi wabongo(najua hii comment itaweza leta controversy moja kali saana kwani nimegusa ktk mioyo ya watu wa namna hiyo )nimewahi kusikia kijiweni pale mjini Mombasani nchini Kenya jamaa wanawaita watu wengine eti waafika,mijiafrika,hata huko huko Comoro nako kasumba hiyo imekithiri,mfano ukitokea Tz wanakuuliza vipi huko Afrika hawajambo?yaani wao bara au nchi yao haikuungana na bara la Afrika,kwa hiyo sio waafrika hata sijui wako maeneo gani.Kasumba ka hizo ni nyingi sana hata pa kuanzia hakuna.M/Mpamba.
 
Sasa kiswahili sio lugha inayotokana na kibantu?hii mambo ya sijui lakhaja sijawahi sikia hata siku moja,watu wa pwani ya coast ya east Africa walioanza kuishi hizo pande wote walikuwa ni watu wa kabila za wabantu na sio vinginevyo kwa hiyo lugha yoyote itakayo jitokeza itakuwa asili na chimbuko lake ni kibantu.End of story.

Mkuu, kuna familia ya lugha, lugha na lahaja. Ni dhana tatu tofauti, Ubantu sio lugha moja, bali ni familia ya lugha, yaani kundi la lugha nyingi zenye kufanana. Lahaja ni kutofautiana kwa vipengele vidogo katika lugha moja lakini bado watu wakaelewana.
 
Nimetumia neno nasaba yaani wanapenda sana kujipa unasaba mwingine na yote ni kutaka waonekane ni watu tofauti na wengine hapa Afrika ya mashariki,kwa mfano baadhi ya watu wanapenda kujinasibisha na watu wa mataifa mengine na mfano mkubwa ni hapa hapa kwetu kuna baadhi ya wenzetu eti na wao wanajiita kuwa wao ni wahindi au waarabu sijui yote haya yanatokea wapi au ni kasumba gani tunazo sisi wabongo(najua hii comment itaweza leta controversy moja kali saana kwani nimegusa ktk mioyo ya watu wa namna hiyo )nimewahi kusikia kijiweni pale mjini Mombasani nchini Kenya jamaa wanawaita watu wengine eti waafika,mijiafrika,hata huko huko Comoro nako kasumba hiyo imekithiri,mfano ukitokea Tz wanakuuliza vipi huko Afrika hawajambo?yaani wao bara au nchi yao haikuungana na bara la Afrika,kwa hiyo sio waafrika hata sijui wako maeneo gani.Kasumba ka hizo ni nyingi sana hata pa kuanzia hakuna.M/Mpamba.

Ni watu wengi sana hawapendi kuhusishwa na waafrika especially ubantu sijui ni kwa nini. Kuna nchi nilienda wamauritius walijiintroduce kwa kusema maurutius ni island iliyopo indian ocean wakaulizwa bara gani wakakataa kujibu the same kwa wa egyptians. Kulikuwa na wanigeria walikasirika wakawaambia wamegypt na mauritius wapack mizigo yao warudi in their original countries waache mauritius na egypt land zina belong afrika!
 
Back
Top Bottom