sikieni story ya rafiki yangu huyu..


nakubaliana na wewe kuwa kwa sasa anahitaji kumtukuza Mungu zaidi kuliko kufarijiwa, machungu yameishapita, alipitishwa kwenye maji, lakini Mungu akamkinga asigharikishwe..............mwacheni Mungu aitwe Mungu.....................
 
Akitaka kupata moyo zaidi apende kusikiliza story za wenzake atona hio story/maisha yake ni afadhali maradufu. God makes a way where seems to be no way.
 

amina mzee mwanakijiji. ubarikiwe sana..............
 
Mungu yu pamoja nasi kila wakati, kila sehemu na huona shida zetu, husikikiliza mahitaji yetu, Na hakuna linaloshindikana kwake. Ila tunachotakiwa kutokata tamaa hata siku moja. Hatuna budi kumshukuru, kumsifu na kumtukuza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…