Popote pale duniani Penny ili mradi tu simu yako ina internet na hivyo vitu vingine nilivyosema.
Bila kusahau ulimited bandwidth plan from your provider,
sie simu zetu za kuweka vocha za buku buku, itakuwa ngumu sana
mkuu ni dj shori huyu?DJ Kaycee anaingia LIVE kuanzia saa tano kamili(US Central Time) mpaka saa nane leo siku Ijumaa 24 mwezi wa 7, 2009. Tune in Upate mamboz.
mkuu ni dj shori huyu?
mkuu ni dj shori huyu?
hahahahahah Mazee wewe uko fasta na mashori tu, hapana ni Msela wa Houston ndio atakuwa anafanya mamboz.
www.bongoradio.com
aaah mkuu unajua madj mashori wananichengua sana....alikuwepo dj shori yule alikuwaga miss mara nimesahau jina......alikuwa akianza kurusha kwanja hapo nikiwa na beer yangu ya safari ile yenye mbuyu lazima nibembee mneso wa ragammuffin.....huyu DJ Sky Nellor ananichengua alirusha kwenye all star game 2009.....niambie shori kama huyu sky nellor ngoma zake zitakuwa kali tu....hahahahahah Mazee wewe uko fasta na mashori tu, hapana ni Msela wa Houston ndio atakuwa anafanya mamboz.
www.bongoradio.com
mkuu ni dj shori huyu?
kanipaisha? kudadadeki atakuwa dj mkali basi.....ngoja ni test fiber optic kama zishaaza kufanya kazi...maana yawezekana zina relax baharini badoUmemulizia DJ na nimemsikia akikurusha hewani, "Yo Yo ukiwa unajivinjari Jamii Forums".
kanipaisha? kudadadeki atakuwa dj mkali basi.....ngoja ni test fiber optic kama zishaaza kufanya kazi...maana yawezekana zina relax baharini bado