dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
-
- #241
Mkuu sisi wa dancehall umetutenga
Poa poa.nitaekaMkuu, zile heartsongs za kina dion, shania, britney, John legend kwa sisi tusiopenda za kelelekelele...tuwekee kamanda.
Mbona naambiwa siwezi fungua?
Jamaa naona bado mchanga sana kwenye uelewa wa hii tasnia.Kuhusu bpm sio kweli..bpm zinaendana coz huwa nazisort before sjaanza mix..kama zipo ni chache sana..mfano hebu nitajie ni nyimbo gani hazijaendana bpm?.
Na kuhusu kumix sijafanya cutting kwa sababu kuna mdau juu alishauri hivo.watu wanapenda wasikie wimbo karibia wote sio kama vile unapiga radio kukimbizana na muda..
napiga wimbo angalau mpka chorus ya mwisho ndo nahama..sio kwamba siwez kufanya cut mix..mkuu
Nb.hii nimejitolea kwa ajili ya wadau humu.sio club,radio au nimekodiwa na mtu
Ngoja nichek nitakuwa nimesau ku publish..nitakujulishaNaambiwa sina rights
Kutoka 90-100 ni gap kubwa sana..ila kuhusu ni 100to101 hiyo hailet madhala sijui yeye almaanisha nn mkuu..Jamaa naona bado mchanga sana kwenye uelewa wa hii tasnia.
Yaani hapo kwenye BPM pengine amekariri, Mf. Mesen selekta _ kinanda ni (100.0 Bpm), na Darassa ft Sho majozi- I Like It ni (101.0 Bpm).
Ninachoona hapa jamaa hajui tempo ya (100.0 Bpm-kinanda) unaweza kuipandisha kidogo ikawa (101.0 Bpm) ukai-mix kwa pamoja na Darassa _I like it (101.0 Bpm).
Labda kama anamaanisha transition mfano, lowest tempo (90 Bpm) to the highest Tempo (100 Bpm) Transition.
Nisharekebisha mkuu jaribu tena.nilikuwa sijaziruhusu kumbe(publish)Naambiwa sina rights
Hapa ndo penyewe safi sana DJwale wa viti virefu kaunta ya juu...rhumba zenu hizi hapa..fayatess, ferre, fally, koffi n.k
Vol 2
Nimeielewa sana hiiRaggamafin& dancehall vol 2
DVJ NASMILETZ RAGGA MAFFIN&DANCEHALL S MIXCRATE (2)
by Dvj nasmile on hearthis.at | Dancehallhearthis.at
Asanye mkuuHapa ndo penyewe safi sana DJ
Asante mkuu.karibuNimeielewa sana hii
Bado mkuu..naziandaaClub bangers ushaziweka humu au?
Kutoka 90-100 ni gap kubwa sana..ila kuhusu ni 100to101 hiyo hailet madhala sijui yeye almaanisha nn mkuu..
Pia kuna zingine pia inaweza kuwa na 140 ikapanda vizur tu na bpm70..