dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
-
- #561
Daah, Whats love ya Haddaway ndio ulikuwa wimbo wa kwanza niliucheza Nightclub na Exparts wa kizungu (Waingereza)nikiwa chalii mdogo huko Arusha, Crystal club miaka ya 90.
Humu kuna :
Haddaway _whats love
Sexy eyes
Fantasy_ blaxk box
Cher_believe
Chicco
Tarzan boy_baltimora
London beat_thinking about you
Strike up_blackbox
Pitbul
Usher rymond
Jeniffer lopez
Chaka chaka
Chaka khan
Na zinginezo kama hizo
By..dvj nasmiletz 0627474141
Nitakutafuta asee nami Niko mtanda hapa evo hill ...usiku wa vijora tukutane parishahahaha...nipo lindi saiv....jamaa bado anaoambana na music
Mkuu vipi charanga?sweet reggae vol 1&2 zipo humu...soon nitaweka vol 3
zote zipo humo mkuuDaah, Whats love ya Haddaway ndio ulikuwa wimbo wa kwanza niliucheza Nightclub na Exparts wa kizungu (Waingereza)nikiwa chalii mdogo huko Arusha, Crystal club miaka ya 90.
Pamoja na ''I have been thinking about you'' wa London beats
reggae sijafanya bado..ila kuna sweet reggaeReggae
sijakuelewaHumubsawa
haina noma mkuu....Nitakutafuta asee nami Niko mtanda hapa evo hill ...usiku wa vijora tukutane paris
Vp Leo unaweza kutoka Paris anapiga dj side nadhani wa kwa matipa.ni PM tukutane Leo nimetoka mtwara ila kesho me naenda masasi bado Niko likizo..iwe Leo TU dj wangu unipe vitu nikupe haki yako njoo na laptop..Kama NI jion ya saa moja una time iwe mashujaa km night njoo parishaina noma mkuu....
Pamoja sana..hahahaha...nipo lindi saiv....jamaa bado anaoambana na music
nipo hapa job...iwawa...ipo jiran na paris hapaVp Leo unaweza kutoka Paris anapiga dj side nadhani wa kwa matipa.ni PM tukutane Leo nimetoka mtwara ila kesho me naenda masasi bado Niko likizo..iwe Leo TU dj wangu unipe vitu nikupe haki yako njoo na laptop..Kama NI jion ya saa moja una time iwe mashujaa km night njoo paris
Mkuu ebhu pitia pm hatukumalizananipo hapa job...iwawa...ipo jiran na paris hapa
poaMkuu ebhu pitia pm hatukumalizana
nipo dj room hapa..ukifika paris muulize mtu iwawa ipo wap..ATAKUONESHAnipo hapa job...iwawa...ipo jiran na paris hapa
Iwawa ya Doctor Sanga sio?nipo hapa job...iwawa...ipo jiran na paris hapa
ipo lindi?Iwawa ya Doctor Sanga sio?