dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
- Thread starter
-
- #861
Nimeweka mzigo tayariNipo vibaya kipindi hiki kaka.Kama upo Njema muwezeshe Dj wetu,namba zake nadhani zipo humu
dvj nasmiletz
Nimeweka mzigo hapo juu..japo bado kama 4 hivi ziko pending badoMkuu unashindwa kujiongeza ushaambiwa halotel bando bei ni kubwa.
Mkuu mm natala lumba boringo za zamani vp unazoNimeweka mzigo hapo juu..japo bado kama 4 hivi ziko pending bado
Kuna gengetone
Kuna root reggae
Kuna gospal
Na latest afrobeat
Kuna uzi wake humu nmeusahau title ila upoMkuu mm natala lumba boringo za zamani vp unazo
Asante mkuu...na-stream live bongo throwback vol 4, kazi njema sana mkuu
safi sana mzee, naikamua hii season B (2) mda huu
Mbona zipo mkuuMe natafuta mega mixer ambayo ntakuta ngoma zile kali za kuchezeka Kama badest na mabantu hasa hitsong za bongo Hamna unakutana na za kina hamo na mond na rayvan Hao wengine adimu