Elections 2010 Sikiliza mahojiano baina ya Salma Said na Seif Sharif Hamad

Elections 2010 Sikiliza mahojiano baina ya Salma Said na Seif Sharif Hamad

Tanzania haijawahi kupata kiongozi mwenye vision kama Maalim Seif Sharrif Hamad kwa uwezo wa Mungu atashinda tena kiti cha urais wa Zanzibar na kutekeleza yote hayo kwa vitendo.
 
Tanzania haijawahi kupata kiongozi mwenye vision kama Maalim Seif Sharrif Hamad kwa uwezo wa Mungu atashinda tena kiti cha urais wa Zanzibar na kutekeleza yote hayo kwa vitendo.
Swala la kumiliki ardhi bado linanitatiza.
 
Swala la kumiliki ardhi bado linanitatiza.
Hili halina shida kama anavyosema Maalim sheria lazima zifuatwe na hili si geni hata bungeni lilishajadiliwa na serikali ilitoa tamko la kuunga mkono sheria za umiliki ardhi Zanzibar kwa kua eneo lake ni dogo haiwezekani kila ajaye amilikishwe...lenyewe litahitajika kwa kilimo, uwekezaji na makazi ya watu n.k. Ila hii haiondowi fursa nyingine za faida ya matumizi ya ardhi kwa wageni kama unataka kuwekeza sheria za uwekezaji zipo wazi.
 
Back
Top Bottom