Sikinde ya Kweli!!!!!



Hawa ndio The Jets (1972), ambao baadae walikuja kuwa STC Jazz, ambayo ndio chanzo cha Biashara Jazz. Waliopo hapa wa kwanza Belino, Raphael Sabuni, Mgoro katika moja ya maonyesho yao. Marijanio Rajab alijiunga na kundi hili, na kuimba wimbo kama....GEORGINA...ulotungwa na HURUKA UVURUGE
 
Umenikumbusha mbali!!!! enzi za STC. Really, old is gold!
 
Hao ni NUTA Jazz....
 

Attachments

  • NUTA.jpg
    18.6 KB · Views: 47
Hii imetulia sana.

Jamani hakuna mtu mwenye audio tracks za Super Rainbow? Si mnamkumbuka Eddie Shaggy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…