Sikio kuziba

iddi_chazua

New Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
1
Reaction score
0
Khabar wadau, naombeni msaada, sikio langu limeziba sio maji nadhani ni wax. Nimejaribu kuperuzi sijapata way out sana sana wanasema nisitumie cotton wool na nilichowaza kutumia kwanza..

Mwenye njia yeyote mbadala?
 
Pole sana, ilinitokea hiyo but nikatumia ear drop baada ya siku tatu likazibuka.
 
Daah,hzo wax zilinipata mkuu..nliumia saana.daktar alinishaur nitumie BORIC ACID.baada ya siku mbili lilizibuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…